TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha amepokea kibali cha kutekeleza Ikama na Bajeti kwa Ajira Mpya kwa mwaka wa fedha 2021/2022 chenye Kumb.Na. 97/228/01/9 cha tarehe 13 Mei, 2022 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Hivyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha anawatangazia wananchi wote ambao ni Raia wa Tanzania wenye sifa kuomba nafasi zilizoorodheshwa hapa chini:-
KAZI NA MAJUKUMU YA MTENDAJI WA KIJIJI
MAJUKUMU YA KAZI YA UDEREVA:
KAZI NA MAJUKUMU YA KATIBU MAHUSUSI
MASHARTI YA UJUMLA:
Seleman H. Msumi
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
Nakala: 1. Katibu,
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma,
S.L.P. 2320,
DODOMA
2. Website :www.arushadc.go.tz
3. Mbao Zote za Matangazo.
Sekei Road
Anuani ya posta: 2330 Arusha
Simu : +255 027 2502737
Simu: 073 65000476
Barua pepe: ded@arushadc.go.tz
Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.