• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO..

Posted on: March 14th, 2023


Na Angela Msimbira OR-TAMISEMI


MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema utunzaji siri za Serikali ni jambo muhimu huku akiwataka Wakuu wa Wilaya kuacha kutumiana nyaraka za Serikali kwa kutumia mitandao ya kijamii au barua pepe binafsi.


Akifungua Mafunzo ya Uongozi kwa Wakuu wa Wilaya Tanzania Bara leo Machi 13, 2023 kwa niaba ya  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaagiza viongozi hao kuwachukulia hatua watumishi wazembe, wabadhirifu na wanaokwamisha miradi ya Serikali katika maeneo yao.


“Utunzaji siri za Serikali ni muhimu sana hususani katika kipindi hiki cha utandawazi na matumizi ya mitandao ya kijamii yawapasa mzingatie kuwa siri ndio uhai wa Serikali. Hivyo, ni lazima kudhibiti uvujaji wa siri za Serikali. Epukeni kabisa kutumia mitandao ya kijamii kama whatsapp, ama email binafsi kutuma nyaraka za Serikali’ amesitiza Dkt. Mpango.


Amewataka watoa mada kuhakikisha wanasisitiza kuhusu matumizi ya walinzi binafsi (bodyguards) na Waandishi wa Habari binafsi katika Ofisi za Umma kwa kuwa zipo taratibu za umma za kupatiwa wasaidizi hao.



Dkt. Mpango amewataka viongozi hao kuhakikisha wanasimamia   maadili, nidhamu na uwajibikaji wa watumishi kwa wananchi na kuepuka lugha za matusi na kujifanya miungu watu.


“Msiende kuwa Miungu watu, nendeni mkatende haki kwa wananchi na watumishi walio chini yenu. Wahudumieni wananchi kwa staha, sikilizeni kero zao na kuzitafutia ufumbuzi kwa wakati. Ninyi kama Viongozi mnapaswa kuongoza kwa mfano na kuweni makini wakati wote mnapozungumza na Umma, hakikisheni mnatumia lugha fasaha na nzuri.”amesema .


“Epukeni kutoa lugha ya matusi. Aidha, mienendo yenu na muonekano wenu mbele ya jamii uwe ni wa mfano, mienendo isiyofaa kama ulevi, ufuska, unyanyasaji wa kijinsia, matumizi mabaya ya madaraka yenu, ufisadi, rushwa n.k. haiendani kabisa na dhamana mliyopewa" Dkt. Mpango.


#KaziIendelee✍✍





Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA NAFASI ZA UDEREVA TAREHE 28/12/2018 December 19, 2018
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI TAREHE 1-7, AGOSTI 2020. July 31, 2020
  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI 2O20/2021 TAREHE 29.01.2021 January 29, 2021
  • KINGA TIBA YA KICHOCHO NA MINYOO YA TUMBO KWA WATOTO MIAKA 5-14 March 02, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC ARUMERU ATEMBELEA MAENEO YALIYOPATA MADHARA YA MVUA ARUSHA DC..

    March 24, 2023
  • MVUA KUBWA YALETA MADHARA ARAFA YA MUKULAY ARUSHA DCA DC

    March 24, 2023
  • MVUA KUBWA YALETA MADHARA ARAFA YA MUKULAT ARUSHA DC

    March 24, 2023
  • DC ARUMERU AFANIKISHA MCHANGO WA MAZIWA YA MTOTO KWA KAYA ILIYOBOMOKEWA NYUMBA OLMOTONY

    March 24, 2023
  • Tazama zote

Video

MFUGAJI AKIELEZEA FAIDA ZA UHIMILISHAJI WA NG'OMBE WA MAZIWA - BANDA LA MIFUGO ARUSHA DC
Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.