• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ARUSHA DC YANG’ARA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2023..........

Posted on: January 26th, 2024

Shule za Sekondari za Halmashauri ya Wilaya ya Arusha zimefanya vizuri kwenye Matokeo ya mitihani ya Taifa ya kidato cha nne kwa Mwaka 2023 yaliotangazwa na Baraza la mitihani la Taifa NACTE.

Akieleza matokeo haya Afisa Elimu Sekondari Menard Lupenza amesema ufaulu huu ni wakishindo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha na inadhihirisha ufaulu wa asilimia 97.4 ikiwa ni ongezeko kubwa kwa matokeo yaliopita.

Amesema jumla ya wanafunzi wapatao 5537 wa Shule za Serikali na Shule Binafsi waliofanya mitihani hii wamweza kupata ufaulu mzuri kwenye masomo mbali mbali .

Wanafunzi waliofaulu kwa Daraja la kwanza hadi Daraja la Tatu I-III ni Jumla ya 2903 Wakiwa ni wa Shule za Serikli na Binafsi ikiwa ni sawa na asilimia 59.3 ,na Wanafunzi waliofaulu kwa Daraja la kwanza hadi Daraja la Nne I-IV  ni jumla ya wanafunzi 5530 sawa na asilimia 97.3 na waliopata Daraja la Zero ni wanafunzi 173 sawa na asilia 2.7 

                                                                                                                           Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Arusha Menard Lupenza akielezea ufaulu wa Wanafunzi wa Kdato cha Nne 2023.

Wanafunzi wa shule za serikali waliofanya mitihani yao na ufaulu ni jumla ya wanafunzi 4738 na ufaulu wao ,Wanafunzi waliopata ufaulu wa Daraja la kwanza mpaka Daraja la nne I-IV ni wafaunzi 4566 sawa na asilimia 96.

Wananfunzi waliopata ufaulu wa Daraja la kwanza hadi Daraja la Tatu I-III ni wanafunzi wapatao 2204 sawa na asilimia 44 ya wanafunzi wote na, wanafunzi waliopata Daraja la Zero ni 172 sawa na asilimia 4.

Kwa upande wa Shule za Binafsi wanafunzi waliohitimu elimu ya kidato cha Nne ni wanafunzi 799 na ufaulu wao kwa Daraja la kwanza hadi Daraja la nne ni wanafunzi 764 sawa na asilimia 99.5 na waliofaulu ufaulu wa Daraja la kwanza hadi la tatu ni wanafunzi 669 sawa na asilimia 85 na wanafunzi waliopata Daraja la Zero ni 1 sawa asilimia 0.5.

Aidha ameelezea kuwa ufaulu huu umeongezeka kutoka asilimia 93.4 ya mwaka 2022 hadi kufikia asilimia 97.3 kwa mwaka wa 2023 ,Haya ni mafanikio makubwa kwa Wilaya , Waalimu ,Wazazi na Wanafunzi kwa Ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.