• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC ARUMERU AAGIZA KUONGEZA KAZI YA UTENGENEZAJI WA MADAWATI ARUSHA DC

Posted on: December 15th, 2021

Na. Elinipa Lupembe.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango, amewaagiza viongozi na wasimamizi wa mradi wa ujenzi wa vyumba 100 vya madarasa ya Mpango wa Maendeleo na Ustawi wa Taifa wa Mapambano dhidi yaUVIKO 19, halmashauri ya Arusha, kuongseza kasi ya uengenezaji wa viti na meza na kukamilisha ifijapo tarehe 20.12.2021.

Mkuu huyo wa wilaya, ametoa rai hiyo, alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika halmashauri hiyo, na kiweka wazi kuwa, shughuli za ujenzi ziko kwenye hatua za ukamilishaji lakini bado kazi ya utengenezaji wa viti na madawati inahitaji kuongeza kasi.

"Nimeridhishwa na hali ya maendeleo ya ujenzi wa vyumba vya madarasa lakini zinahitajika jitihada za ziada kukamilisha utengenezaji wa samani za madarasa hayo, ongezeni kasi ya kutengeneza viti na meza, mafundi watengeneze usiku na mchana ili darasa likamilike likiwa na samani zake, kama yalivyo maelekezo ya serikali" amesisistiza Mhandisi Ruyango 

Hata hivyo wakuu wa shule, wameahidi kuwasimamia mafundi, kutengeneza samani hizo, usiku na mchana ili kuhakikisha zinakamilika kwa muda uliopangwa, licha ya kuwa na chamgamoto ya kukosekana kwa umeme kwa baadhi ya siku.Katika ziara hiyo, Mkuu huyo wa wilaya ametembelea shule sekondari Bangata yenye madarasa 2, shule ya sekondari Ilkiding'a inayojenga madarasa 11, shule ya sekondari Kiranyi, inayojenga madarasa 13, shule ya sekondari Mringa inayojenga madarasa 10 na shule ya sekondari Matevesi inayojenga madarasa 3. 

Ikumbukwe kuwa kutokana na changamaoto mbalimbali za ukamilishaji ujenzi huo, serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, imeongeza muda wa kukamisha ujenzi wa vyumba hivyo vya madarasa mpaka kufikia tarehe 31, Desemba 2021 badala ya tarehe 15. Desemba 2021 kama ilivyokiwa hapo awali.

Awali, Halmashauri ya Arusha inajenga jumla ya vyumba 100 vya madarasa na madawati, huku madarasa 96 shule za sekondari na madarasa 4 shule mbili za msingi shikizi, kwa gharama ya shilingi bilioni 2, fedha za Mpango wa Maendeleo na Ustawi wa Taifa wa Mapambano dhidi ya UVIKO 19.

ARUSHA DC 

#KaziInaendelea✍✍



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.