• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DKT. DUGANGE APONGEZA HALMASHAURI YA ARUSHA KWA KUJENGA SHULE YA GHOROFA...

Posted on: March 9th, 2023

OR TAMISEMI


Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange ameipongeza halmashauri ya wilaya Arusha kwa ubuniufu wa kujenga majengo ya shule kwa kutumia michoro ya ghorofa katika shule ya sekondari mpya ya Kiutu.


Ametoa pongezi hizo  tarehe 08 Machi 2023 wakati akikagua ujenzi wa Shule Mpya ya Kiutu inayojengwa kupitia Mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP).


Dkt. Dugange amesema kutokana na ufinyu wa eneo inapojengwa shule, halmashauri iliamua kujenga baadhi ya majengo kwa mfumo wa ghorofa ambapo ameridhishwa na hali ya ujenzi inayoendelea.


Amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alitoa shilingi milioni 470 za awali na halmashauri kupitia mapato ya ndani ilitoa milioni 250 ili kuwezesha ujenzi wa shule hiyo unaoendelea.


Aidha, Dkt. Dugange ameeleza kuwa kutokana na makadilio ya awali zinahitajika shilingi milioni 111 ili kukamilisha ujenzi wa mradi huo ambapo makadilio ya gharama za ujenzi wa Mradi huo zilikuwa shilingi milioni 696.


Kutokana na gharama za ujenzi na vifaa kupanda, ameagiza Halmashauri kufanya tathmini ya Mwisho ya kujua ni fedha kiasi gani zinahitajika kumalisha ujenzi wa Shule hiyo ili halmashauri iweze kutenga fedha za kukamilisha.


Kadhalika, Dkt. Dugange  amemshukuru Diwani wa kata ya Kiutu, Malaki Marambo na familia za jirani kwa kutoa eneo la ujenzi wa shule hiyo kutokana na kata kukoasa eneo ya kujenga.


Shule ya Sekondari ya Kiutu tayari imepokea wanafunzi wa Kidato cha kwanza 111 kati ya wanafunzi 133 waliokuwa wamepangwa kuanza masomo katika Shule hiyo.


"ARUSHA DC ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"

#kaziinaendelea✍✍✍✍

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA NAFASI ZA UDEREVA TAREHE 28/12/2018 December 19, 2018
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI TAREHE 1-7, AGOSTI 2020. July 31, 2020
  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI 2O20/2021 TAREHE 29.01.2021 January 29, 2021
  • KINGA TIBA YA KICHOCHO NA MINYOO YA TUMBO KWA WATOTO MIAKA 5-14 March 02, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC ARUMERU ATEMBELEA MAENEO YALIYOPATA MADHARA YA MVUA ARUSHA DC..

    March 24, 2023
  • MVUA KUBWA YALETA MADHARA ARAFA YA MUKULAY ARUSHA DCA DC

    March 24, 2023
  • MVUA KUBWA YALETA MADHARA ARAFA YA MUKULAT ARUSHA DC

    March 24, 2023
  • DC ARUMERU AFANIKISHA MCHANGO WA MAZIWA YA MTOTO KWA KAYA ILIYOBOMOKEWA NYUMBA OLMOTONY

    March 24, 2023
  • Tazama zote

Video

MFUGAJI AKIELEZEA FAIDA ZA UHIMILISHAJI WA NG'OMBE WA MAZIWA - BANDA LA MIFUGO ARUSHA DC
Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.