• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DKT. DUGANGE APONGEZA HALMASHAURI YA ARUSHA KWA KUJENGA SHULE YA GHOROFA...

Posted on: March 9th, 2023

OR TAMISEMI


Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange ameipongeza halmashauri ya wilaya Arusha kwa ubuniufu wa kujenga majengo ya shule kwa kutumia michoro ya ghorofa katika shule ya sekondari mpya ya Kiutu.


Ametoa pongezi hizo  tarehe 08 Machi 2023 wakati akikagua ujenzi wa Shule Mpya ya Kiutu inayojengwa kupitia Mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP).


Dkt. Dugange amesema kutokana na ufinyu wa eneo inapojengwa shule, halmashauri iliamua kujenga baadhi ya majengo kwa mfumo wa ghorofa ambapo ameridhishwa na hali ya ujenzi inayoendelea.


Amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alitoa shilingi milioni 470 za awali na halmashauri kupitia mapato ya ndani ilitoa milioni 250 ili kuwezesha ujenzi wa shule hiyo unaoendelea.


Aidha, Dkt. Dugange ameeleza kuwa kutokana na makadilio ya awali zinahitajika shilingi milioni 111 ili kukamilisha ujenzi wa mradi huo ambapo makadilio ya gharama za ujenzi wa Mradi huo zilikuwa shilingi milioni 696.


Kutokana na gharama za ujenzi na vifaa kupanda, ameagiza Halmashauri kufanya tathmini ya Mwisho ya kujua ni fedha kiasi gani zinahitajika kumalisha ujenzi wa Shule hiyo ili halmashauri iweze kutenga fedha za kukamilisha.


Kadhalika, Dkt. Dugange  amemshukuru Diwani wa kata ya Kiutu, Malaki Marambo na familia za jirani kwa kutoa eneo la ujenzi wa shule hiyo kutokana na kata kukoasa eneo ya kujenga.


Shule ya Sekondari ya Kiutu tayari imepokea wanafunzi wa Kidato cha kwanza 111 kati ya wanafunzi 133 waliokuwa wamepangwa kuanza masomo katika Shule hiyo.


"ARUSHA DC ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"

#kaziinaendelea✍✍✍✍

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.