• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HAYA HAPA MAELEKEZO 12 YA MKUU WA WILAYA YA ARUMERU KWA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI ARUSHA DC.

Posted on: May 11th, 2023

Na Elinipa Lupembe


# Amewapongeza wajumbe wote wa Baraza kwa ushirikiano mkubwa wa kusukuma gurudumu la maendeleo katika kuijenga halmashauri, kwa pamoja mmeweza kuisimamia halmashauri na kupata hati safi, kufuatia hoja za CAG za mwaka wa fedha 2021/202, endeleeni kushirikiana na watalaam wa sekta zote ili  tuendelee kupata hati safi.


#Maendeleo ya halmashauri yetu, yanategemea maamuzi ya mkutano wa Baraza la Madiwani, kila Diwani ana wajibu wakupitisha maazimio kwa mujibu wa sheria, katika maamuzi ni muhimu kuzingatia sheria, kanuni na taratibu.


#Ili mipango na maazimio mnayoyapanga na kupitisha kwenye vikao vyenu, iweze kutekelezeka, suala la ukusanyaji na usimamizi wa mapato ni jukumu lenu kubwa, shirikianeni na watalamu kuhakikisha mapato yanakusanywa na kutumika kwa kuzingatia taratibu za matumizi ya fedha za Umma.


#Serikali inawategemea sana, waheshimiwa madiwani kuweka mipango ya maendeleo, katika kusimia utekelezaji wa shughuli zote za maendeleo katika maeneo yenu, hakikisheni kila mtu anashiriki katika usimamizi wa miradi pamoja na kuwashirikisha wananchi wenu kutambua miradi hiyo ni mali yao.



#Serikali inaleta fedha nyingi za miradi kwenye maeneo yenu katika sekata ya afya, elimu, maji, miundombinu ya barabara, mnalo jukumu la kufuatilia hatua zote za utekelezaji wa miradi hiyo bila kuathiri kanuni na taratibu na kuhakikisha inakamilika kwa wakati kwa kuzingatia ubora unaoendanan na thamani ya fedha.


# Madiwani ndio  Wasimamizi wa utekelzaji wa Ilani ya chama kilichopo madarakani, hakikisheni mnaisimamia vema,  fedha za miradi yote kwenye maeneo yenu, tunaomba msimamie miradi hiyo kwa uhakika ili iwe na ubora na ikamilike kwa kuzingatia vigezo.


# Wahimizeni watendaji wa kata na vijiji, kufanya mikutano ya vijiji pamoja na kusoma taarifa za mapato na matumizi kwa kila robo ya mwaka, hakikisheni mnawabana kuleta taarifa kwenye vikao vya WDC, kuna changamoto ya usomaji wa mapato na matumizi, jambo hili linaendelea kupunguza imani ya wanachi kwa serikali yao.



#Simamieni utatuzi wa migogoro katika maeneo yenu kwa kutatua kero za wananchi wanaohangaika katika kupata haki zao, simamieni mamalaka zilizo chini yetu zinazotakiwa kusimamia haki za wananchi na kuhakikisha wanapata haki zao bila upendeleo.


#Madiwani tengeni muda ya kusikiliza kero za wananchi, wananchi waliwachagua kwa kura wakiamini mnakwenda kuwasaidia kutatua na kuondoa kero zao.


#Mimi na kamati yangu ya  Ulinzi na Usalama, tumejipambanua kupigania haki za wananchi, maandiko yanasema haki huinua Taifa, tukiwaondolea kero watajikita kwenye shughuli za uzalishaji.


# Masiwani simamieni  upatikanaji wa chakula shuleni, tungeni sheria ndogo kwenye maeneo yenu, ili kuwabana na kuhakikisha kila mzazo anapelekwka chakula cha mtoto wake shuleni, toeni elimu kwa wazazi watambue umuhimu wa lishe kwa watoto, oneni umuhimi wa lishe bora kwa  watoto, ambayo inanafasi ya ufaulu katika masomo na kuwezakutimiza ndoto zao.


#Suala la ukatili wa kijinsia kwa watoto, ni changamoyo katika maeneo yetu, sisi ni viongzoi hakikisheni watoto wanalindwa na kusimamiwa haki zao, malezi ya watoto hawa ni jukumu letu viongozi, kwa manufaa ya Taifa letu.


# Mnalo jukumu la kusimamia utunzaji wa mazingira katika maeneo yetu, mmeshuhudia madhara yaliyotokana na mvua, yote yamesababishwa na sisi wenyewe, watu wamelima kwenye vyanzo vya maji, kwenye miinuko na kuondoa makinga maji,  kila kiongozi akisimama kqenye nafasi yake kwa kuzingatia sheria za mazingira, hatutapata madhara makubwa kiasi hiki.



ARUSHA DC ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"






Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.