• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA SIASA CCM ARUMERU YATEMBELEA MRADI WA UJENZI NYUMBA YA MWALIMU SHULE YA MSINGI OLEMEDEYE

Posted on: April 17th, 2023

Wajumbe wa Kamati ya Siasa CCM wilaya ya Arumeru wakikagua  Mwenyekiti wakikagua mradi wa ujenzi wa nyumba ya mwalimu shule ya msingi Olemedeye kata ya Laroi, mradi uliotekelezwa kwa gharama ya shilingi milioni 50 fedha kutoka Serikali Kuu.


Wajumbe hao wameridhishwa na utekelezaji wa mradi huo, ambao kutekelezwa na umekamilika kwa wakati, ukithibitisha ubora na thamani ya fedha zilizotumika (value for money) na tayari walimu wataanza kuishi hapo.


Mwenyekiti CCM Wilaya hiyo, Noel Severe, amepongeza hali ya utekelezaji wa mradi huo, na kuipongeza serikali ya awamu ya sita namna inavyotekeleza Ilani ya CCM ya mwaka 2020 -2025 kwa vitendo.


Akisoma taarifa ya mradi huo, Afisa Mtendaji kata ya Laroi, ameweka wazi kuwa, Mradi ulianza kutekelezwa mwezi Septemba 2022,kwa kutumia force account, na tayari umekamilika kwa 100% na walimu wanategemea kuanza kuishi hapo.


Naye Diwani wa kata ya Laroi na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arusha, Mhe. Dkt. Ojung'u Salekwa, licha ya kuishukuru serikali kwa mradi huo wa nyumba za walimu, ameelezea changamoto za kutembea umbali mrefu walizokuwa wakipata walimu kufika shuleni hapo.


Amefafanua kuwa mradi huo, utawawezesha walimu kuishi ndani ya eneo la shule na kuepuka kutembea umbali wa zaidi ya Kilomita 15 kutoka eneo ambalo kuna nyumba za kupangisha huku akiamini kupanda kwa taaluma shuleni hapo.


Ziara hiyo ni maalumu kwa ajili ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2020 - 2025.


"Arusha DC ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.