• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mheshimiwa Sabore Molloimet awa Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Arusha

Posted on: October 1st, 2019

Na. Elinipa Lupembe.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Longido, Mheshimiwa Sabore Kennedy Molloimet, amechakuliwa kuwa Mwenyekiti wa ALAT mkoa wa Arusha, kwenye mkutano wa ALAT Mkoa, uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa halmashauri ya Arusha.

Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo, Makamu Mwenyekiti, ALAT mkoa wa Arusha na Meya wa Jiji la Arusha, Mheshimiwa Kalist Lazaro, amesema kuwa, uchaguzi huo umefanyika kwa mujibu wa kanuni ya za Kudumu za Mikutano ya Uchaguzi wa Viongozi wa Jumuiya za mwaka 2009, kifungu cha 42, 43 na 44, hivyo amemtangaza Mwenyekiti halmashauri ya Longido, mheshimiwa Sabore Molloimet kuwa Mwenyekiti wa ALAT mkoa wa Arusha bada ya kupata kura za ndio zaidi ya nusu.


Amefafanua kuwa mheshimiwa Molloimet, amepata kura 21 za ndio, kati wapiga kura 22 huku kura moja ikiharibika na kumpa dhamana ya kuwa Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Arusha mpaka mwaka 2020.


Naye Mwenyekiti mpya wa ALAT mkoa wa Arusha, mheshimiwa Molloimet licha ya kushukuru wajumbe kumpa dhamana ya kushika nafasi hiyo na kuwaomba wajumbe hao, kushirikiana kwa pamoja na kuweka tofauti zao za kiitikadi kwa maslahi mapana ya wananchi waliowachagua na Taifa kwa ujumla.


Aidha Mheshimiwa Mwenyekiti huyo, ameahidi kutumia uwezo alionao,  kusimamia nafasi hiyo kwa haki na kuwataka wajumbe kutimiza wajibu wao pamoja na kuheshimu makubaliano na kusimamia utekelezaji wake.


"Nashukuru kwa kunipa nafasi hii na uwezo ninao, naahidi kuutumia kwa kutenda haki, na zaidi tutumie nafasi zetu kuwahudumia wananchi kwa maslahi ya watanzania"amesema Mwenyekiti huyo.


Awali Mwenyekiti wa ALAT mkoa, mheshimiwa Sabole Molloimete,  amechukua nafasi iliyoachwa wazi na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Karatu, Mheshimiwa Jubilete Mnyenye, aliyepoteza sifa za kuwa Mwenyekiti wa Jumuia hiyo.

Mwenyekiti mpya wa ALAT mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Sabore Molloimet (aliyesimama) akizungumza na wajumbe wa mkutano huo, mara baada ya kuchaguliwa kuiongoza Jumuia hiyo.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.