• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MILIONI 670.8 ZA EP4R, KUJENGA MIUNDOMBINU YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI ARUSHA DC.

Posted on: August 5th, 2020

Na. Elinipa Lupembe.

       Serikali kupitia Wizara ya Elimu na utekelezaji wa miradi ya Mpango wa Elimu Lipa Kutokana na Matokeo 'EP4R', imetoa kiasi cha shilingi milioni 670.8 kwa ajili ya ujenzi ya miundombinu ya shule za msingi na  sekondari, halmashauri ya Arusha, wilaya ya Arumeru.

       Akizungumza ofisini kwake Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha, Saad Mtambule amethibitisha kupokea fedha hizo kutoka serikalini, fedha ambazo zinatumika kujenga miundombinu ya shule 7 za msingi na shule 3 sekondari, miradi ambayo utekelezaji wake uko kwenye hatua za awali za ujenzi.

        Mkurugenzi huyo ameweka wazi mchanganuo wa matumizi ya fedha hizo, kuwa, shilingi milioni 38 zitajenga vyumba 19 vya madarasa, shilingi milioni  100 kujenga nyumba 2 za walimu zenye sehemu 2 (2 in 1), shilingi milioni 80 kujenga bweni la wanafunzi na shilingi milioni 26.8 fedha za kujenga vyoo vinne vyenye matundu 23.

     "Miradi hiyo itahusisha ujenzi wa jumla ya vyumba 19 vya madarasa na matumdu 23 ya vyoo, ikiwa vyumba 12 vya madarasa na matundu 18 ya vyoo kwa shule 7 za msingi, na vyumba 7 vya madarasa kwa shule 3 za sekondari huku  ujenzi wa matundu 5 ya choo yakijengwa kwenye shule mpya ya sekondari ya sekondari Losinoni pekee" ameainisha Mkurugenzi huyo.

          Naye Afisa Elimu Sekondari halmashauri ya Arusha, Menard Lupenza, amekiri ujio wa fedha za ujenzi wa miundombinu ya shule, umekuja wakati muafaka, kwa kuwa bado shule nyingi zinamahitaji ya miundombinu ya madarasa na vyoo, mabweni na nyumba za walimu, uhitaji unaotokana na ongeezeko kubwa la idadi ya wanafunzi wanaojiunga na shule za sekondari kwa sasa.

    Ameongeza kuwa licha ya kuwa uhitaji huo upo kwenye shule nyingi lakini upo zaidi kwenye shule mpya za sekondari, zilizoanzishwa na kusajiliwa mwanzoni mwa mwaka huu, ambapo shule ya sekondari Losinoni kata ya Oldoonyowas, imefanikiwa kupata fedha za kujenga vyumba vitatu vya madarasa, nyumba mbili za walimu zenye sehemu mbili (2 in 1) na choo cha wanafunzi  chenye matundu matano.

      " Kiasi hicho cha fedha, kimehusisha ujenzi wa miundombinu kwenye shule mpya ya Sekondari Lesinoni, shule ambayo bado ni changa na bado inamahitaji makubwa ya miundombinu, utekelwzaji wa miradi hiyo, itaongeza tija na ufanisi kwa maendeleo ya shule na wanafunzi wa maeneo ya kata ya Oldonyowas". Amesema Afisa elimu huyo.

       Naye Kaimu Mhandisi wa Ujenzi, mhandisi Bibie Manzi, amesema kuwa ujenzi wa miradi hiyo yote, itatekelezwa kwa kutumia wakandarasi wa maeneo husika 'forced account', na tayari utekelezaji wa miradi hiyo uko kwenye hatua za awali na miradi yote inategemea kukamilika mwishoshoni mwa mwezi Oktoba.


 PICHA ZA HATUA ZA AWALI ZA UJENZI WA MIUNDOMBINU HIYO










Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.