• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Watoto elfu 83 kupewa dawa za kinga tiba ya Kichocho na Minyoo Arusha DC

Posted on: May 2nd, 2019

Na. Elinipa Lupembe

Jumla ya watoto elfu 83 wa kuanzia miaka  5 hadi 14, ndani ya halmashauri ya Arusha, wanategemea kupatiwa dawa za kinga tiba ya ugonjwa wa Kichocho na minyoo ya tumbo, magonjwa yanayofahamika kama magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele 'Neglected Tropical Disease (NTD)'.

Zoezi hilo la siku mbili, limeanza leo na linategemea kukamilika kesho, katika maeneo yote ya halmashauri hiyo, huku dawa hizo zikitolewa kwenye vituo 139, vilivyoko kwenye shule za msingi za serikali na zile za binafsi.

Akizungumza na mwandishi wetu Kaim Mganga Mkuu, halmashauri ya Arusha, Dkt. Peter Mboya, amesema kuwa zoezi limeanza vizuri, vituo vyote 139 vinafanyakazi huku watoto, wakiendelea kupatiwa dawa hizo za kinga tiba.

Amesema kuwa zoezi hilo ni la kitaifa, Serikali inatoa kinga tiba hiyo bure, kutokana na ongezeko la tatizo la magonjwa ya kichocho na minyoo kwa watoto ambayo husababisha upungufu wa damu, utumbo kutoboka na hata kifo.

Ameendelea kueleza kuwa, ugonjwa wa kichocho nao ni tatizo kubwa kwa watoto na usipopata tiba kwa haraka, husabisha madhara na wakati mwingine vifo, hivyo ni vema wazazi kuchukua tahadhari kwa kuwapa watoto dawa hizo pindi serikali inapoendesha zoezi la kuwapatia watoto dawa za kinga tiba.

Aidha amewataka wazazi na walezi kuhakikisha watoto wao, wanapata kinga tiba hizo muhimu, ambazo hut kwa afya za watoto wao, na kuwaondoa hofu, wale wanaodhani dawa hizo zina madhara kwa watoto.

Hata hivyo, mwandishi wa habari hizi, ametembelea baadhi ya vituo na kushuhudia zoezi la kutoa dawa hizo, likiendelea vizuri huku walimu na wanafunzi wakiwa ushirikiano wa hali ya juu.

*Pichani watoto wa shule ya Msingi Naurei kata ya Kiutu, wakimeza dawa wakati wa zoezi la kutoa kinga tiba hizo* .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.