• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

UCHAGUZI KWA MAMLAKA YA MJI MDOGO NGARAMTONI.

Posted on: September 24th, 2019

Na. Elinipa Lupembe.

MAELEKEZO YA UCHAGUZI KWA MAMLAKA YA MJI MDOGO NGARAMTONI.

(Yametolewa chini ya Kanuni ya 8)

Kwa mujibu wa kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Mji Mdogo Na.371 (2019) kifungu cha 8(1) kinachoeleza kuwa Msimamizi wa Uchaguzi atatoa maelezo ya Uchaguzi; Hivyo basi:

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utafanyika tarehe 24.11.2019.

Uandikishaji utafanyika tarehe 8 hadi 14 mwezi Oktoba, 2019 katika Vitongoji 21 vya Mamlaka ya Mji Mdogo Ngaramatoni ambapo kutakuwa na vituo vya uandikishaji 42 vitakavyofunguliwa saa mbili kamili asubuhi na kufungwa saa kumi na mbili kamili jioni.

Uchaguzi utafanyika tarehe 24 Novemba, 2019 katika Vitongoji 21 vya Mamlaka ya Mji Mdogo ambapo kutakuwa na vituo 42 vya kupigia kura vitakavyofunguliwa saa mbili kamili asubuhi mpaka saa kumi kamili jioni.

Nawasisitiza Wakazi wote wenye sifa za kupiga kura kujiandikisha ili kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tarehe 24.11.2019.

Nawasisitiza wakazi wenye umri wa miaka ishirini na moja au zaidi wanaotaka kugombea nafasi ya uenyekiti wa Kitongoji kuchukua fomu za kugombea zitakazopatikana kwenye ofisi ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.


Fomu za maombi ya kugombea Uenyekiti wa Kitongoji zitachukuliwa tarehe 29.10.2019 saa moja na nusu asubuhi (01.30) na mwisho wa kurejeshwa fomu ni tarehe 04.11.2019 saa kumi kamili jioni (10.00. Fomu hizo zitatolewa kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi.


Siku ya Uteuzi wa Wagombea itakuwa tarehe 05.11.2019, na fomu za wagombea zitabandikwa kwenye mbao za matangazo ya Vitongoji.


Uwasilishaji wa Pingamizi dhidi ya uteuzi wa Mgombea yeyote ni kuanzia tarehe 05 hadi 06.11 2019 na uamuzi wa Pingamizi dhidi ya uteuzi wa Mgombea ni tarehe 05 hadi 07.11.2019.


Rufaa dhidi ya uamuzi wa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ni tarehe 05 hadi 08.11.2019.

Mikutano ya Kampeni itakuwa siku saba na itaanza tarehe 17.11.2019 hadi 23.11.2019 ambapo itaanza saa mbili asubuhi (02.00) na itamalizika saa kumi na mbili jioni (12.00) ya kila siku ya Kampeni.


Nawasisitiza wananchi kushiriki Uchaguzi kwa wingi, wapige kura kwa amani. Kulingana na Kanuni ya 34(6) mtu yeyote hatoruhusiwa kubaki katika eneo la kituo cha kupiga kura baada ya kupiga kura.


Imetolewa na:

Hossein R. Mghewa

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI

HALMASHAURI YA ARUSHA

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.