• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ORODHA YA MAJINA WANAOITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA MWANDISHI MWENDESHA OFISI

Posted on: June 23rd, 2023

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI

Kumb.Na. MM/AR/S.20/12/110                                        22.06.2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha anapenda kuwatangazia waombaji wa nafasi ya:-

  • Madereva daraja la II                                    -        2
  • Mwandishi Mwendesha Ofisi daraja  la III      -        2

Zilizotangazwa kupitia Tangazo lenye Kumb.Na. MM/AR/S.20/12/106 la tarehe 24 Mei, 2023 kuwa  Usaili umepangwa kufanyika kama ifuatavyo:-

Na

Kada

Tarehe ya Usaili wa Vitendo

Tarehe ya Usaili wa mahojiano ana kwa ana

1

Dereva II

02.07.2023

03.07.2023

2

Mwandishi Mwendesha Ofisi III

02.07.2023

03.07.2023

Aidha, kila mtahiniwa anatakiwa kufika na vyeti halisi (original) alivyoombea kazi.

  • Vyeti halisi:-
  • Cheti cha kidato cha nne/sita
  • Cheti cha kuzaliwa
  • Kadi ya NIDA/namba ya NIDA
  • Cheti cha taaluma (stashahada, Technician NTA Levels 6)
  • Leseni ya Udereva (kwa Madereva)
  • Cheti cha Udereva
  • Watahiniwa wanatakiwa kufika na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi kati ya hivi:-
  • Kitambulisho cha Taifa.
  • Kitambulisho cha Makazi
  • Kitambulisho cha Mpiga Kura.
  • Hati ya kusafiria.
  • Testimonials Provisional Results Statement or Result” hati ya matokeo ya kidato cha nne/sita HAVIKUBALIKI.
  • Kila msailiwa atajigharamia chakula, malazi na usafiri.
  • Waombaji ambao majina yao hayapo kwenye orodha hii hawajakidhi vigezo.
  • Orodha ya wasailiwa umeambatanishwa.
  • Usaili utaanza saa 2.00 katika Halmashauri ya Arusha – Sekei.



BOFYA KIUNGANISHI, KUSOMA ORODHA YA MAJINA  

AJIRA MPYA 2023.pdf



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.