• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

kamati ya Elimu, Afya na Maji

Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

KAMATI YA ELIMU, AFYA NA MAJI.

 Kamati ya Elimu, Afya na Maji Halmashauri ya Arusha ina jumla ya wajumbe 14.

Kamati hii inafanya vikao vyake mara moja  kila baada ya miezi mitatu (kila robo) na Mwenyekiti wa Kamati hii ni Mhe. RAYMOND PINIEL LAIRUMBE na Katibu akiwa ni Mkuu wa Idara ya Afya Halmashauri ya  Arusha.

Kamati ya Elimu, Afya na Maji inashughulika na masuala yote yanayohusu Afya ya jamii, elimu na huduma za maji.

Aidha Kamati hii inashughulikia pia mambo yanayohusiana na jitihada za wananchi vijijini kujiletea maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri na kushirikisha wananchi hasa katika kutayarisha, kutekeleza, kusimamia na kuatthmini Mipango ya Maendeleo.

Majukumu makuu ya Kamati ya Elimu, Afya na Maji ni pamoja na:-

  • Kusimamia utekelezaji wa shughuli zote za masuala ya Elimu, Afya na Maji katika Halmashauri.
  • Kuandaa mipango madhubuti ya upanuzi na uendelezaji miundombinu kwenye shule zote ndani ya Halmashauri.
  • Kuandaa mipango madhubuti ya upanuzi na ujenzi wa Zahanati, vituo vya Afya na hospitali.
  • Kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale.
  • Kuandaa mipango ya maendeleo ya upanuzi wa vituo, viwanja, majengo na mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo.
  • Kupanga na kupendekeza kwa Halmshauri Mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato.






Orodha ya Wajumbe wa Kamati ya Elimu, Afya na Maji 2019/2020.

NA

KATA 

JINA

NAMBA YA SIMU

1

Mhe. RAYMOND PINIEL LAIRUMBE

MWENYEKITI

0755 780022

      2
Mhe. NOAH L. SAPUTU

MJUMBE

0755 641086

3

Mhe. BARAKA SAIMON MESIAKI

MJUMBE

0766 494549

4

Mhe. PETER OLAIS MFERE

MJUMBE

0758 234507

5

Mhe. OJUNG'U PINIEL SALEKWA

MJUMBE

0752 780000

6

Mhe. RAHELI ALOYCE MOLLEL

MJUMBE

0756 766006

7

Mhe. ELIAS LOSHULA LENGINA

MJUMBE

0757 941271

8

Mhe. JOHN SLIM LENGATAI

MJUMBE

0785 000013

9

Mhe. KALANGA LENDULO LAIZER

MJUMBE

0754 667715

10

Mhe. WINIFRIDA ELIAKIM. LUKUMAY

MJUMBE

0658 863737

11

Mhe. ALBERT ELIAS OLTEREU

MJUMBE

0757 665578

12

Mhe. LENGAI OLE SABAYA

MJUMBE

0754 585458

13

Mhe. BONIFASI TARAKWA

MJUMBE

0754 366299

14

Mhe. LOSYEKU KILUSU

MJUMBE

0768 352060

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.