• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

kamati ya Elimu, Afya na Maji

Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

KAMATI YA ELIMU, AFYA NA MAJI.

 Kamati ya Elimu, Afya na Maji Halmashauri ya Arusha ina jumla ya wajumbe 14.

Kamati hii inafanya vikao vyake mara moja  kila baada ya miezi mitatu (kila robo) na Mwenyekiti wa Kamati hii ni Mhe. RAYMOND PINIEL LAIRUMBE na Katibu akiwa ni Mkuu wa Idara ya Afya Halmashauri ya  Arusha.

Kamati ya Elimu, Afya na Maji inashughulika na masuala yote yanayohusu Afya ya jamii, elimu na huduma za maji.

Aidha Kamati hii inashughulikia pia mambo yanayohusiana na jitihada za wananchi vijijini kujiletea maendeleo yao kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri na kushirikisha wananchi hasa katika kutayarisha, kutekeleza, kusimamia na kuatthmini Mipango ya Maendeleo.

Majukumu makuu ya Kamati ya Elimu, Afya na Maji ni pamoja na:-

  • Kusimamia utekelezaji wa shughuli zote za masuala ya Elimu, Afya na Maji katika Halmashauri.
  • Kuandaa mipango madhubuti ya upanuzi na uendelezaji miundombinu kwenye shule zote ndani ya Halmashauri.
  • Kuandaa mipango madhubuti ya upanuzi na ujenzi wa Zahanati, vituo vya Afya na hospitali.
  • Kuamua juu ya mambo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale.
  • Kuandaa mipango ya maendeleo ya upanuzi wa vituo, viwanja, majengo na mazingira ya burudani, starehe, mapumziko na michezo.
  • Kupanga na kupendekeza kwa Halmshauri Mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato.

Orodha ya Wajumbe wa Kamati ya Elimu, Afya na Maji.

NA

KATA 

JINA

NAMBA YA SIMU

1

Mhe. RAYMOND PINIEL LAIRUMBE

MWENYEKITI

0755 780022

      2
Mhe. NOAH L. SAPUTU

MJUMBE

0755 641086

3

Mhe. BARAKA SAIMON MESIAKI

MJUMBE

0766 494549

4

Mhe. PETER OLAIS MFERE

MJUMBE

0758 234507

5

Mhe. OJUNG'U PINIEL SALEKWA

MJUMBE

0752 780000

6

Mhe. RAHELI ALOYCE MOLLEL

MJUMBE

0756 766006

7

Mhe. ELIAS LOSHULA LENGINA

MJUMBE

0757 941271

8

Mhe. JOHN SLIM LENGATAI

MJUMBE

0785 000013

9

Mhe. KALANGA LENDULO LAIZER

MJUMBE

0754 667715

10

Mhe. WINIFRIDA ELIAKIM. LUKUMAY

MJUMBE

0658 863737

11

Mhe. ALBERT ELIAS OLTEREU

MJUMBE

0757 665578

12

Mhe. LENGAI OLE SABAYA

MJUMBE

0754 585458

13

Mhe. BONIFASI TARAKWA

MJUMBE

0754 366299

14

Mhe. LOSYEKU KILUSU

MJUMBE

0768 352060

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA NAFASI ZA UDEREVA TAREHE 28/12/2018 December 19, 2018
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI TAREHE 1-7, AGOSTI 2020. July 31, 2020
  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI 2O20/2021 TAREHE 29.01.2021 January 29, 2021
  • KINGA TIBA YA KICHOCHO NA MINYOO YA TUMBO KWA WATOTO MIAKA 5-14 March 02, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC ARUMERU ATEMBELEA MAENEO YALIYOPATA MADHARA YA MVUA ARUSHA DC..

    March 24, 2023
  • MVUA KUBWA YALETA MADHARA ARAFA YA MUKULAY ARUSHA DCA DC

    March 24, 2023
  • MVUA KUBWA YALETA MADHARA ARAFA YA MUKULAT ARUSHA DC

    March 24, 2023
  • DC ARUMERU AFANIKISHA MCHANGO WA MAZIWA YA MTOTO KWA KAYA ILIYOBOMOKEWA NYUMBA OLMOTONY

    March 24, 2023
  • Tazama zote

Video

MFUGAJI AKIELEZEA FAIDA ZA UHIMILISHAJI WA NG'OMBE WA MAZIWA - BANDA LA MIFUGO ARUSHA DC
Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.