• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira

Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA.

Kamati ya Uchumi, Ujenzi  na Mazingira Halmashauri ya Arusha ina jumla ya wajumbe 14.

Kamati hii inafanya vikao vyake mara moja  kila baada ya miezi mitatu (kila robo) na Mwenyekiti hii ni  Mhe. Lembris L. Mollel  na Katibu akiwa ni Mkuu wa Idara ya Kilimo na Umwagiliaji Halmashauri ya  Arusha.

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira inashughulika na masuala ya uzalishaji mali ikiwemo Kilimo, Ufugaji, Viwanda, Madini, Biashara na vyama vya Ushirika.

Aidha Kamati hii inashughulikia pia miundombinu ya ujenzi na Maendeleo ya Ardhi na hifadhi ya Mazingira.

Majukumu makuu ya Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ni pamoja na:-

  • Kupanga na kupendekeza kwa Halmshauri Mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato.
  • Kupendekeza Mipango ya matumizi ya Ardhi katika eneo la Halmashauri.
  • Kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa Kilimo na Ufugaji katika Halmashauri.
  • Kusimamia na kuahakiki miradi ya Ujenzi wa masoko, minada, majosho na vituo vya mifugo.
  • Kushughulikia uanzishaji na uendeshaji wa vyama vya Ushirika kwa mujibu wa sheria ya Vyama vya Ushirika.
  • Kusimamia Matumizi ya sheria ya nguvu kazi.

 

Orodha ya wajumbe wa Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira.

NA

KATA 

JINA

NAMBA YA SIMU

1

Mhe. LEMBRIS L. MOLLEL

Mwenyekiti

0752 030002

    2
Mhe. NOAH L. SAPUTU

Mjumbe

0755 641086

3

Mhe. JOSEPH JOHN LAIZER

Mjumbe

0768 576100

4

Mhe. ZEPHANIA P. SIRIKWA

Mjumbe

0768 610590

5

Mhe. YASMIN ANAND BACHU

Mjumbe

0754 485737

6

Mhe. ELISANTE L. NASSARI

Mjumbe

0755 999425

7

Mhe.ELIHURUMA S. LAIZER

Mjumbe

0759 178151

8

Mhe. BERTHA AMON MOLLEL

Mjumbe

0784 736711

9

Mhe. FLORA M. MELUSORI

Mjumbe

0756 567332

10

Mhe. SANARE MEPALARI M.

Mjumbe

0786 945200

11

Mhe. OLAIS W. LUKUMAY

Mjumbe

0767 697779

12

Mhe. GODFREY F. MASHELE

Mjumbe

0754 312219

13

Mhe. LOTHI JOEL MUNGAYA

Mjumbe

0716 422878

14

Mhe. ELINIPA LESION LAIZER

Mjumbe

0756 874272

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA NAFASI ZA UDEREVA TAREHE 28/12/2018 December 19, 2018
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI TAREHE 1-7, AGOSTI 2020. July 31, 2020
  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI 2O20/2021 TAREHE 29.01.2021 January 29, 2021
  • KINGA TIBA YA KICHOCHO NA MINYOO YA TUMBO KWA WATOTO MIAKA 5-14 March 02, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC ARUMERU ATEMBELEA MAENEO YALIYOPATA MADHARA YA MVUA ARUSHA DC..

    March 24, 2023
  • MVUA KUBWA YALETA MADHARA ARAFA YA MUKULAY ARUSHA DCA DC

    March 24, 2023
  • MVUA KUBWA YALETA MADHARA ARAFA YA MUKULAT ARUSHA DC

    March 24, 2023
  • DC ARUMERU AFANIKISHA MCHANGO WA MAZIWA YA MTOTO KWA KAYA ILIYOBOMOKEWA NYUMBA OLMOTONY

    March 24, 2023
  • Tazama zote

Video

MFUGAJI AKIELEZEA FAIDA ZA UHIMILISHAJI WA NG'OMBE WA MAZIWA - BANDA LA MIFUGO ARUSHA DC
Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.