• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira

Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA.

Kamati ya Uchumi, Ujenzi  na Mazingira Halmashauri ya Arusha ina jumla ya wajumbe 14.

Kamati hii inafanya vikao vyake mara moja  kila baada ya miezi mitatu (kila robo) na Mwenyekiti hii ni  Mhe. Baraka Simon Mesiaki  na Katibu akiwa ni Mkuu wa Idara ya Kilimo na Umwagiliaji Halmashauri ya  Arusha.

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira inashughulika na masuala ya uzalishaji mali ikiwemo Kilimo, Ufugaji, Viwanda, Madini, Biashara na vyama vya Ushirika.

Aidha Kamati hii inashughulikia pia miundombinu ya ujenzi na Maendeleo ya Ardhi na hifadhi ya Mazingira.

Majukumu makuu ya Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ni pamoja na:-

  • Kupanga na kupendekeza kwa Halmshauri Mipango ya kupanua biashara na jinsi ya kukusanya mapato.
  • Kupendekeza Mipango ya matumizi ya Ardhi katika eneo la Halmashauri.
  • Kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa Kilimo na Ufugaji katika Halmashauri.
  • Kusimamia na kuahakiki miradi ya Ujenzi wa masoko, minada, majosho na vituo vya mifugo.
  • Kushughulikia uanzishaji na uendeshaji wa vyama vya Ushirika kwa mujibu wa sheria ya Vyama vya Ushirika.
  • Kusimamia Matumizi ya sheria ya nguvu kazi.

 




Orodha ya wajumbe wa Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira 2019/2020.

NA

KATA 

JINA

NAMBA YA SIMU

1

Mhe. LEMBRIS L. MOLLEL

Mwenyekiti

0752 030002

    2
Mhe. NOAH L. SAPUTU

Mjumbe

0755 641086

3

Mhe. JOSEPH JOHN LAIZER

Mjumbe

0768 576100

4

Mhe. ZEPHANIA P. SIRIKWA

Mjumbe

0768 610590

5

Mhe. YASMIN ANAND BACHU

Mjumbe

0754 485737

6

Mhe. ELISANTE L. NASSARI

Mjumbe

0755 999425

7

Mhe.ELIHURUMA S. LAIZER

Mjumbe

0759 178151

8

Mhe. BERTHA AMON MOLLEL

Mjumbe

0784 736711

9

Mhe. FLORA M. MELUSORI

Mjumbe

0756 567332

10

Mhe. SANARE MEPALARI M.

Mjumbe

0786 945200

11

Mhe. OLAIS W. LUKUMAY

Mjumbe

0767 697779

12

Mhe. GODFREY F. MASHELE

Mjumbe

0754 312219

13

Mhe. LOTHI JOEL MUNGAYA

Mjumbe

0716 422878

14

Mhe. ELINIPA LESION LAIZER

Mjumbe

0756 874272

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.