• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Kudhibiti UKIMWI

HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA

 

KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI.

Kamati ya Kudhibiti UKIMWI Halmashauri ya Arusha ina jumla ya wajumbe 5 wa Baraza la Madiwani na Wajumbe wengine kutoka Mashirika yasiyo ya Kiserikali.

Kamati hii inafanya vikao vyake mara moja  kila baada ya miezi mitatu (kila robo) na Kisheria Mwenyekiti wa Kamati hii ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Baraka Simon Mesiak na Katibu akiwa ni Mkuu wa Idara ya Afya Halmashauri ya  Arusha.

Kamati ya Kudhibiti UKIMWI inashughulika na kuweka Mipango na Mikakati mbalimbali ya kudhibiti UKIMWI katika Halmashauri.

Majukumu makuu ya Kamati ya Mpango wa Kudhibiti UKIMWI ni pamoja na:-

  • Kushirikisha wadau tofauti katika maeneo husika ili kuongeza uchangiaji wa mawazi na vyanzo, usimamizi, uratibu na utekelezaji wa kazi za Tume ya Kudhibiti UKIMWI.
  • Kusimamia uundwaji wa Kamati zote za Kudhibiti UKIMWI.
  • Kupendekeza na kutambua hali ya UKIMWI/ Mipango na utekelezaji wake na kufikisha katika ngazi husika kwa hatua zaidi.
  • Kutathmini ya hali ya UKIMWI katika eneo husika kuhusu:-
  • Idadi ya wagonjwa, yatima na wajane
  • Kasi ya maambukizi
  • Mazingira maalum yanayochangia maambukizi.
  • Uelewa wa wananchi juu ya janga la UKIMWI.
  • Kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha kila motto aliye na umri wa kuandikishwa shule anafanya hivyo.
  • Kuweka mikakati ya makusudi juu ya njia bora za kuchangia baadhi ya huduma za Elimu na Afya.
  • Kubuni na kupendekeza njia bora ya kuzuia na kudhibiti magonjwa ya mlipuko.
  • Serikali haitatoa fedha kwa Halmashauri isiyokuwa na mipango madhubuti ya kudhibiti UKIMWI.
  • Kupendekeza Sheria ndogo za Kamati.

Orodha ya Wajumbe wa Kamati ya Kudhibiti UKIMWI

NA

KATA 

JINA

NAMBA YA SIMU

1

Mhe. BARAKA SAIMON MESIAKI
KATA YA OLTUROTO

0766 494549

    2.
Mhe. NOAH L. SAPUTU
KATA YA OLTURMET

0755 641086

3

Mhe. BERTHA AMON MOLLEL
KATA YA SOKON II

0784 736711

4

Mhe. NURU ELIAS NDOSI
KATA YA MOIVO

0759 427111

5

Mhe. DIWANI JULIUS S. MOLLEL
KATA YA KISONGO

6

Mhe. LENDISA SARUBARE
KATA YA MOIVO

0754 383357

7

Ndugu. MARCO KIMIRI              
MWAKILISHI WA WAVIU

8

Ndugu. RAMADHANI JUMA
SHEIKH – DHEHEBU – ISLAM

9

Ndugu. AGUSTINO AELEA                        
MWAKILISHI WA VIJANA (ME)

10

Ndugu NASMA HUSSEIN                      
MWAKILISHI WA VIJANA (KE)

11

Ndugu. EMMANUEL A. SELLA      
ELCT – KIZAZI KIPYA

12

Ndugu.  LILIAN MAIKO              
MWAKILISHI WA WAVIU

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA NAFASI ZA UDEREVA TAREHE 28/12/2018 December 19, 2018
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI TAREHE 1-7, AGOSTI 2020. July 31, 2020
  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI 2O20/2021 TAREHE 29.01.2021 January 29, 2021
  • KINGA TIBA YA KICHOCHO NA MINYOO YA TUMBO KWA WATOTO MIAKA 5-14 March 02, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WAATHIRIKA WA VVU WASHAURIWA KUACHANA NA IMANI POTOFU BADALA YAKE KUENDELEA KUTUMIA ARAV

    May 10, 2022
  • JUMLA YA WANAFUNZI 859 KUFANYA MITIHANI YA TAIFA KIDATO CHA SITA ARUSHA DC 2022

    May 08, 2022
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA TATU 2O21/2022 tarehe 09.05.2022

    May 08, 2022
  • KILA LA KHERI KIDATO CHA SITA

    May 09, 2022
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru ampokea Balozi wa Japani nchini Tanzania, Balozi Shinichi Goto
Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.