• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kupata leseni ya pikipiki

MAMBO MUHIMU – PIKIPIKI

Ili kupata Leseni ya Pikipiki fika Ofisi za Biashara Ukiwa na viamabatanisho vifuatavyo:-


i.Cheti halisi na kivuli cha usajili wa Pikipiki husika

ii.Bima ya Pikipiki husika

iii.Taarifa ya ukaguzi wa chombo kutoka Kikosi cha usalama barabarani

iv.Leseni halisi ya udereva ,kivuli chake na Picha ya Mmiliki au Dereva

v.Nakala ya Mkataba wa ajira kati ya Mmiliki na Dereva

vi.Eneo mwombaji atakalofanyia biashara hii

(Sehemu ya II Kifungu cha 5)

Masharti ya Kupata Leseni ya Pikipiki:-

1.Mwombaji awe na umri wa miaka 18 na kuendelea

2.Malipo yote yatafanyika Benki ya NMB akaunti ya SUMATRA Na. 20106600550

3.Maombi ya Leseni hufanyika kila Mwezi Juni na Leseni hutolewa mwezi Julai (Mwombaji atakayechelewa kuleta maombi atalipa faini ya 50% ya ada ya leseni yake)

4.Endapo mwombaji atakataliwa atapewa taarifa ndani ya siku 7 tangu siku aliyokataliwa na sababu za kukataliwa.

MASHARTI YA LESENI YA USAFIRISHAJI:-

1.Pikipiki husika lazima ikidhi viwango vya TBS na iwe na mapigo manne

2.Dereva haruhusiwi kubeba zaidi ya abiria mmoja (Mshikaki ni marufuku).

3.Dereva na abiria wavae kofia ngumu kujiepusha na madhara ya ajali wakati inapotokea

4.Dereva anapaswa kuwa msafi na unifomu ya nguo zake kuwa safi na kuwa na namba inayoonekana na kila mmoja kwenye unifomu yake.

5.Dereva huruhusiwi kutumia simu wakati unaendesha

6.Dereva asiendeshe chombo kwa  mwendo kasi zaidi ya ulioruhusiwa na bila kuzingatia hali ya barabara pamoja na sheria za usalama zilizomo barabarani.

7.Endapo mmiliki siyo dereva anaweza kuingia mkataba na dereva mzoevu na aliyetimiza masharti ya sheria kukiendesha chombo husika

8.Pikipiki zote za kukodishwa zinapaswa kuwa na Pleti namba nyeupe na maandishi meusi.

9.Pikipiki ifanye  biashara kwenye eneo lililoainishwa kwenye leseni na Halmashauri.

10. Dereva huruhusiwi kumpakia mtoto wa chini ya miaka  8 bila kuwa  na mtu mzima aliyeongozana naye


ADA ZA LESENI  PIKIPIKI ZA MIGUU MIWILI KWA MWAKA

1.Ada Ya Leseni            20,000/=

2.Ada Ya Maombi              2,000/=

 ----------------------------------

  JUMLA     22,000/=

 ====================================

 ADA LESENI PIKIPIKI ZA MIGUU MITATU  KWA MWAKA

1.Ada Ya Leseni              30,000/=

2.Ada Ya Maombi   2,000/=

    ----------------------------------

JUMLA32,000/=

  ===================================


•ADA KWA AJILI YA NAKALA ILIYOPOTEA AU KUCHAKAA/KUHARIBIKA  NI  SHILINGI 5,000  TU




Kinabo Liberty Daniel

AFISA BIASHARA MWANDAMIZI NA

AFISA MTEULE PIKIPIKI ZA MIGUU MIWILI NA MITATU

HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA



Matangazo

  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA TATU 2O21/2022 tarehe 09.05.2022 May 08, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA ARUSHA DC,BW.SELEMAN MSUMI AKIWA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI HIYO KATIKA MASDHIMISHO YA MEI MOSI KIMKOA ARUSHA

    May 02, 2025
  • HERI YA MEI MOSI

    May 01, 2025
  • HERI YA SIKU YA MEI MOSI

    May 01, 2025
  • MHE. MAJALIWA MGENI RASMI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.