• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC ARUMERU ENG. RICHARD RUYANGO ATETA NA WANANCHI WA KATA YA KIUTU -ARUSHA DC

Posted on: August 16th, 2021

Na.Elinipa Lupembe.

  # Amewaagiza viongozi wa kata na vijiji kujenga tabia ya kusikiliza kero na changamoto zinazowakabili  wananchi, kwa kupanga kila siku moja katika wiki, na kuitaja siku ya Jumanne kiwa ni siku ya kusikiliza kero za wananchi pamoja na kuzitatua na kuzifikisha sehemu husika kwa wakati, kama ni ofisi ya Mkurugenzi ama ofisi ya mkuu wa wilaya. 

   #  Amewataka viongozi na wanachi kushirikiana kulinda usalama katika eneo lao, na kutoa onya kwa wananchi ambao ni wavunjifu wa amani na usalama, na kuwataka viongozi kuwachukulie hatua za kisheria, ikiwemo kufikishwa mahakamni, kwani amani na utulivu ni chanzo cha maendeleo kataka maeneo yetu. 

# Amewahimiza  wananchi kujituma katika kufanya kazi, na kutambua kuwa kazi ndio msingi wa mendeleo, kila mmoja awe na shughuli halali ya kufanya ya kumuingizia kipato, kwa kufanya kazi kwa bidii, kutawaletea maendeleo yao binafsi na ya taifa kwa ujumla.

  #  Serikali ya awamu ya sita imejielekeza katika kutatua kero za wananchi kwa kusogeza huduma karibu na wananchi, kwa kuhakikisha kila mwananchi anafaidika na huduma zinazotolewa na serikali kisekta.   

  **** Katika sekta ya Umeme, serikali imepunguza gharama za kuunganisha umeme majumbani hadi kufikia shilingi elfu 27, gharama ambazo kila mwamnanchi anaweza kuzimudu. 

  **** Serikali imetenga takribani shilingi bilioni 2.5, kwa ajili ya kufanya matengenezo ya barabara, hivyo wanachi wana jukumu la kuzitunza barabara hizo ili ziweze kudumu kwa muda mrefu. 

  ***** Kiasi cha shilingi bilioni 5 kimetengwa kwa ajaili ya kutekeleza miradi ya maji, ikiwa na lengo la kusogeza huduma kwa wananchi na kuhakikisha kila kaya inachota maji katika umbali usiozidi Mita 400 huku  ikienda sambamba na kampeni ya mtue mama ndoo.  

 *****Katika kupambana na umasikini uliokithiri nchini, serikali imeanza kutekeleza awamu ya pili ya mradi wa mpango kwa kunusuru kaya masiki kupitia mradi wa TASAF awamu ya tatu, ambapo vijiji vyote nchini vitaingzwa kwenye mpango, huku halmashauri ya Arusha ikiongezewa jumla ya vijiji 43  kati ya vijiji 45 ambavyo vilikuwa kwenye mpango tangu mwaka 2013 idadi ambayo itakamilisha vijiji vyote 88 vya halmashauri.   

******Aidha amewataka wazazi kuweka mipango thabiti ya hakikisha wanatimiza majukumu yao, kwa kuwawezesha watoto wao kupata chakula cha mchana wawapo shuleni kwa shule zote za kutwa, huku akifafanua kuwa ili mtoto afanye vizuri katika masomo ni lazima awe na afya bora, afya inayotokana na lishe bora.

ARUEMEU YETU

KAZI IENDELEE✍✍

20210816_214245.jpg

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.