• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ALIYOYASEMA RAIS MAGUFULI KWA WANANCHI WA ARUMERU BAADA YA KUWEKA JIWE LA MSINGI - MRADI WA MAJI JIJINI ARUSHA.

Posted on: December 2nd, 2018

#Ameuagiza uongozi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jiji la Arusha 'AUWASA', kuhakikisha Wananchi wanaoishi katika vyanzo vya maji na ambao miundombinu ya mradi huo mkubwa wa maji itawapita kwenye maeneo yao wapatiwe maji, Magufuli.

#AUWASA kuhakikisha mradi huo wa maji unawafikia Wananchi wa kata ya  Oldonyosambu, halmashauri ya Arusha  Wilayani Arumeru, eneo ambalo lina tatizo la madini ya floraidi iliyozidi inayowaathiri wananchi hao kiafya.

# Amewataka wananchi wote kutunza vyanzo vya maji kwa manipufaa yao na vizazi vijavyo, pamoja kuvithamini huku wakitambua kuwa ' Maji ni Uhai'.

# Wananchi kuithamini na kuitunza miradi inayotekelezwa na Serikali kwa kuwa inatumia fedha nyingi ambazo ni za mkopo wa riba nafuu kutoka Benk ya Maendeleo ya Afrika(AfDB), na kutambua kuwa ni jukumu la kila Mtanzania kulilipa fedha hizo, kupitia ulipaji kodi.

# Amewataka Watanzania kuacha tabia ya  kukwepa kulipa kodi,  kwani kodi wanayoilipa ndio hutumika kutekeleza miradi yote ya maendeleo, na kutambua juwa kodi hiy ni kwa ajili ya  maendeleo yao na  nchi kwa ujumla.

#Amewaonya baadhi ya wafanyabiashara wanakwepa kulipa kodi kwa kuwapa wamachinga bidhaa zao wawauzie, na kuwataka Wamachinga kutotumika kukwepa kodi kwani wanaikosesha nchi yao mapato.

#Amewaonya pia baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu , na kutoa risiti za TRA 'feki' zenye kuonesha, kiwango kidogo cha fedha tofauti na kiwango cha fedha iliyotolewa na mteja.

#Ameitaka TRA kuacha kuwakadiria viwango vikubwa vya kodi ambavyo kiuhalisia, wafanyabiashara  wanashindwa kulipa na kuwata kuweka viwango vya kodi ambavyo vinalipika huku akiwasisitiza  TRA kufanya utafiti wa kwanini wananchi wanakwepa kulipa kodi.

# Ameipandisha hadhi barabara yenye urefu wa Kilomita 18, kutoka Mianzini kupitia Ilikidinga hadi Ngaramtoni kuwa ni ya mkoa ili apate fedha kutoka Serikali kuu na ijengwe kwa kiwango cha Lami.

#Amewahoji wananchi waliojenga pembezoni mwa barabara hiyo endapo wako tayari, kusogeza nyumba zao ili ufanyike upanuzi wa barabara na kuweza kujengwa kwa kiwango cha Lami, bila kumung'unya maneno wananchi hao waliitikia ndiyo kwa kushangilia,

#Amewataka viongozi waliochaguliwa na wananchi , ikiwemo Wabunge na Madiwani kuwatumikia wananchi waliowachagua ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero zao na kuzitatua.

#Kuendelea kutatua changamoto ya Umeme, na endapo Mkandarasi kama ameshindwa kufanya kazi yake aondolewe.

# Viongozi wa Mkoa wa Arusha kuhakikisha wanajenga mnada wa kuuzia Ng'ombe katika maeneo ya mipaka ili wananchi wapate fursa yakupata masoko ya nje.



Mheshimiwa Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiwahutubia wananchi, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya Msingi Olmringaringa kata ya Kimnyaki.


Baadhi ya wananchi wakimsikiliza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya Msingi Olmringaringa kata ya Kimnyaki.



Baadhi ya wananchi wilayani Arumeru wakifuatilia hotuba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya Msingi Olmringaringa kata ya Kimnyaki.


Baadhi ya wananchi wilayani Arumeru wakimsikiliza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya Msingi Olmringaringa kata ya Kimnyaki.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.