• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ARUSHA DC NA MERU DC ZAKUBALIANA KUGAWANA KIWANJA KILICHOKUWA KINAMILIKIWA NA ARUMERU DC

Posted on: March 18th, 2022

Na. Elinipa Lupembe.

Hayawi hayawi yamekuwa, hatimaye leo viongozi wa halmashauri mbili za Arusha na Meru zinazounda wilaya ya Arumeru, wamekubaliana kwa pamoja kugawana eneo lenye ukubwa wa mita za mraba 3,380, lililoko eneo la Engira Road Jijini Arusha.

Awali eneo hilo lilikuwa likimilikiwa na iliyokuwa halmashauri ya Arumeru, ambayo ilivunjwa na 30Juni 2007 na tarehe 01 Julai,  2007 kuzaliwa halmashauri mbili za Arusha na Meru na kulazimika kugawana baadhi ya mali zilizokuwa zikimilikiwa na halmashauri hiyo ya Arumeru.

Makubaliano hayo yamefikiwa mara baada ya pande zote mbili, kukaa vikao vya kisheria katika halmashauri husika  na hatimaye kukutana kwenye kikao cha pamoja, kilichosimamiwa na kuongozwa na Katibu Tawala wilaya ya Aruemru, Mwalimu James Mchembe, kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Arumeru.

Katika kikao hicho kilichojumuisha Waheshimiwa  Madiwani wa Kamati ya Fedha Utawana na Mipango na timu ya Menejimenti ya halmashuri zote mbili za Arusha na Meru, na kufikia makubaliano ya kugawana eneo hilo nusu kwa nusu bila kujali majengo yaliyopo katika eneo hilo.

Aidha mgawanyo wa eneo hilo lenye Mita za mraba 3,389 utawezesha halmashauri ya Arusha kupata Mita za mraba ,1,690 kadhalika halmashauri ya Meru kupata mita za mraba1,690 pia.

Hata hivyo, baada ya makubaliano hayo, viongozi hao wamewaagiza watalamu wa Ardhi wa pande zote mbili kuanza mchakato wa kugawa eneo hilo kwa haraka na kupata hati miliki ya kila eneo, ili kila halmashauri iwe na hati miliki yake pamoja na kuanza kutumia maeneo hayo kwa manufaa ya wanachi wa halmashauri zote mbili.

ARUMERU

KaziInaendelea✍✍✍











Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.