• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ARUSHA DC YAPANGA WATALAMU KURAHISISHA HUDUMA MAMLAKA YA MJI MDOGO NGARAMTONI

Posted on: January 29th, 2021

Na. Elinipa Lupembe.

Halmashauri ya Arusha katiika kutekeleza majukumu yake ya kuwahudumia wananchi, na kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma stahiki na kwa wakati, Halmashauri imewataeua watalamu wa sekta za Kilimo, Mifugo, Maendeleo ya Jamii katika ngazi ya kata, kufanyakazi kwenye vitongoji hivyo, kwa kusaidiana na Afisa Mtendaji wa Kata kwenye kata saba za Mamlaka ya Mji mdogo Ngaramtoni.

Mpango mkakati huo umekuja mara baada ya vilivyokuwa vijiji katika kata hizo saba kupandishwa hadhi na kuwa vitingoji kwa mujibu wa kanuni na kuondolewa waliokuwa Maafisa Watendaji wa Vijiji katika Mamlaka hiyo ya Mji Mdogo Ngaramtoni.Akijibu Maswali ya Papo kwa papo, Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha, Saad Mtambule, swali lililouzwa na Diwani wa kata ya Kiranyi, mheshimiwa John Seneu, aliyetaka ufafanuzi upi mkakati wa halmashauri wa kuhakikisha wananchi wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Ngaramtoni wanapata huduma kutoka kwa wataalamu kutokana na ukweli kwamba kata hizo saba zinasimamiwa na Afisa Mtendaji wa kata tu, huku kukiwa na idadi kubwa ya wananchi wanaohitaji huduma katika ofisi ya kata.

Mkurugenzi Mtambule, amefafanua kuwa, tayari halmashauri imewapangia watalamu wa sekta zote walioko kwenye ngazi ya kata, pamoja na majukumu yao, kusaidia kusimamia shughuli nyingine katika maeeneo ya kata hizo,lengo likiwa ni kuongeza kasi ya utoaji huduma kwa wananchi wa maeneo yote ya Mamlaka ya Mji Mdogo."Ili kuhakikisha wananchi wa kata za Mamlaka ya Mji Mdogo Ngaramtoni, tumewaongezea na kuwapangia majukumu, watalamu wa kilimo, mifugo,Elimu na Maendeleo ya Jamii, kufanyakazi katika maeneo hayo, ili kuharakisha utoaji wa  huduma kwa wananchi, wakati tukisubiri kibali cha kuajiri kutoka serikali kuu" amesema Mkurugenzi Mtambule.

Mamlaka ya Mji Mdogo Ngaramtoni, ilianzishwa rasmi Oktoba 2014 kwa mujibu wa sheria ikiwa na kata saba za Moivo, Ilboru, Kiranyi, Tarakwa, Oloirien, Olmotony na Olturumet.


Mkurugenzi Saad Mtambule, akijibu maswali ya papo kwa papo, wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za robo ya pili kwa mwaka wa fedha 2020/2021,mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo.


Wajumbe wa Baraza la Madiwani, wakifuatilia mijadala mbalimbali wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za robo ya pili kwa mwaka wa fedha 2020/2021,mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.