• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ARUSHA DC YAWAPONGEZA WALIMU WALIOSHINDA TUZO  YA STADI ZA UFUNDISHAJI SHULE ZA AWALI NA MSINGI KITAIFA.

Posted on: June 24th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Uongozi wa halmashauri ya Arusha, umewapongeza walimu walioshinda tuzo ya Stadi za Ufundishaji kwa  shule za Awali na Msingi nchini, tuzo

zilizotolewa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi kupitia Mamlaka ya Elimu Tanzania -TEA.


Katika mashindano hayo Mwl. Sophia Moses alikuwa mshindi wa kwanza na Mwl. Jenipher Chuwa akiwa mshindi wa pili wote wa shule ya Enaboishu Academy inayomilikiwa na Halmashauri ya Arusha, huku walimu 6 kati ya washindi 10 wa mwanzo wakitokea halmashauri ya Arusha.


Akizungumza wakati wa hafla ya kuwapongeza walimu hao, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arusha, Mhe. Dkt. Ojung'u Salekwa licha ya kuwapongeza walimu hao kwa ushindi, amekiri kuwa ushindi huo umeiletea sifa na heshima kubwa halmashauri yao kitaifa.


Ameweka wazi kuwa, ushindi huo unaweka wazi ushirikishwaji katika utumishi wa Umma, ukiimarishwa na  usimamizi mzuri wa ufanyaji kazi kati ya walimu na halmshauri kupitia Idara ya Elimu Msingi.


"Nikuombe mkurugenzi, uendelee kutoa fursa kwa walimu za kujiendeleza kitaaluma pindi watakapohitaji kwenda masomoni, mwalimu anapokwenda masomoni licha ya kupata vyeti, inamuongezea ari ya kufanya kazi lakini zaidi umahiri wa stadi za kufundisha unaendana na mabadiliko ya kila siku ya kidunia" Amebainisha Mhe. Dkt. Ojung'u


Hata hivyo walimu hao licha ya kuishukuru serikali kwa programu hiyo ya kutoa tuzo kwa walimu, wameiponge

za programu ya  mafunzo kazini  MEWAKA, programu ambayo wamekiri kuwajengea uwezo wa kufundisha na kuwafanya kuwa mahiri katika stadi za  ufundishaji.


Mwl. Jenipher Chuwa wa shule ya msingi ya mchepuo wa Kiingereza Enaboishu Academy amesema kuwa program ya MEWAKA inawajengea uwezo wa kujiamini katika stadi za ufundishaji kwa kuwa walimu hukutana na kubadilisha uzoefu.


Afisa Elimu kata ya Oloirieni Mwl. Digna Swai, amesema kuwa walimu hukutana kwenye vituo vya walimu TRC na kujadilian a kwa pamoja mada tata, ambao hubadilisha uzoefu wa ufundishaji na matumizi ya zana rahisi za kufunfishia.  


 "Vituo vya TRC vina vifaa vya TEHAMA ambavyo vinaturahisishia pia ujifunzaji kwa kujisomea matini ya mada mbalimbali zilizopo kwenye mtandao, hivyo programu ya MMEWAKA imetupa  niafasi ya kukaa pamoja na kujifunza mada tata zinazowasumbua walimu" Amefafanua Mwl Digna na Afisa Elimu kata









Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.