• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC ARUMERU AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA LA WILAYA

Posted on: October 19th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mh.Emmauela Mtatifikilo Kaganda amefungua Baraza la Biashara la Wilaya ya Arumeru, kikao cha Baraza hilo kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Arusha. Akizungumza na wajumbe wa Baraza hilo Kaganda amesema kuwa lengo kuu la Baraza hilo ni kujenga ushirikiano mzuri baina sekta ya umma, sekta binafsi pamoja na Serikali na kwamba ushirikiano ukiimalika utakuza uchumi katika sekta zote pamoja na uchumi wa mtu mmojammoja.


“Kuimalika kwa sekta ya biashara ndivyo nchi inavyoimalika kiuchumi, Serikali inaendesha shughuli zake kupitia kodi za wafanyabiashara, ndiyo maana tumeweka juhudi kubwa katika kuhakikisha sekta binafsi inafanya vizuri. Kwahiyo majadiliano kati ya sekta ya umma na binafsi hujenga kuaminiana na kushirikiana ili kuleta maendeleo ya pamoja”, amesema.


Kwa upande wake Afisa biashara wa Halmashauri ya Arusha bwana Emmanuel Mchamungu amesema kwamba baraza hilo linasaidia kutatua changamoto ZA kibiashara na uwekezaji kwa kuhakikisha kwamba biashara zinafanyika katika mazingira rafiki na Serikali inapata mapato yake bila wafanyabiashara kushurutishwa wala kusumbuliwa.


Naye Mwenyekiti mwenza wa Baraza hilo ndugu Wilfred Daniel Mollel amesema Baraza linatumika kuzileta pamoja sekta binafsi na sekta ya umma jambo ambalo halikuwepo hapo awali kabla ya uanzishwaji wa mabaraza hayo nchini.


“Baraza hili linawezesha kufahamu fursa mbalimbali zilizopo katika Wilaya yeti ya Arumeru, tunapokutana hivi pamoja tunajadiliana namna ya kuboresha mazingira ya ufanyikaji wa biashara jambo litakalokuza uchumi wetu kama taifa”, amesema.


Vilevile baadhi ya wajumbe wakapendekeza Serikali kuendelea kutenga maeneo maalum kwaajili ya wawekezaji na wafanyabiashara wenye mitaji kuwekeza ili kuongeza fursa za Ajira kwa Watanzania pamoja na kuongeza makusanyo yatokanayo na kodi rasmi.


Baraza la Biashara ni jukwaa la majadiliano na ushauri kati ya sekta binafsi na sekta ya umma, ambalo lilianzishwa kwa waraka wa Rais Na.1 wa mwaka 2001 na kuchapishwa kwenye gazeti la Serikali Na.39 la tarehe 28 Septemba 2001.








Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.