• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC Kimanta awaasa wasichana kuacha kushiriki tendo la ngono katika umri mdogo

Posted on: April 25th, 2018

Wasichana yenye umri mdogo wametakiwa kuacha tabia ya kujihusisha na vitendo vya ngono katika umri mdogo kwani wanajiweka kwenye hatari kubwa ya kupata maambukizi ya magonjwa hatari ikiwemo Saratani ya mlango wa kizazi pampja na gonjwa hatari la UKIMWI.  

Rai hiyo imetolewa na Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, na mkuu wa wilaya ya Monduli Mhe. Idd Kimanta wakati wa uzinduzi wa chanjo mpya ya Saratani ya Mlango wa Kizazi katika halmashauri ya Arusha, uliofanyika kwenye hospitali ya wilaya ya Olturumet.

Mkuu wa wilaya huyo amewaasa wasichana kuacha tabia ya kujihusisha na vitendo vya ngono, licha ya kupata kinga ya Saratani ya Mlango wa Kizazi  na kuongeza kuwa chanjo hiyo haizuii kupata maambukizi ya magonjwa mengine yanayoombukizwa kwa njia ya kujamiiana.

Amefafanua kuwa, vitendo vya ngono katika umri mdogo vinachangia sana kukatisha ndoto za wasichana wengi na wakati mwingine husababisha wasichana wengine kupoteza maisha.

Hata hivyo Kimanta amewataka wazazi, walezi na jamii nzima kuhakikisha wasichana wenye umri wa miaka 14, wanakwenda kupata chanjo hiyo huku akiwataka viongozi wa kata zote kusimamia zoezi hili kwa ufasaha na kuhakikisha hakuna mtoto atakayekosa chanjo hiyo pamoja na kuwaonya watu watakaokwamisha zoezi hilo kuchukuliwa hatua kali za kisheria.  

Naya mratibu wa chanjo halmashauri ya Arusha Dkt. Yassin  Winga , amesema kuwa halmashauri inategemea kuwapatia chanjo jumla ya wasichana 4,239 itakayotolewa kwenye vituo 50 vilivyopo kwenye vituo vya kutolea huduma za afya   ndani ya halmashauri na zoezi litafanyika ndani ya wiki nzima.

Dkt. Winga amefafanua kuwa, zoezi la chanjo litatolewa pia kwa kutumia 'Mobile Clinic' kwa wakazi wa maeneo ya pembezoni na kusema kuwa chanjo hii itatolewa mara mbili na mara tatu kwa wasichana wenye maambukizi ya VVU ndani ya miezi sita.

Aidha baadhi ya wanafunzi waliofika kituoni hapo na kupatiwa chanjo hiyo, wamekiri kuridhishwa na chanjo hiyo na kusema kuwa wanaamini chanjo hiyo itawakinga na ugonjwa wa Saratani ya Mlango wa Kizazi na kukiri kutokujihusisha na vitendo vya ngono katika umri mdogo.

Asnath Melau msichana aliyepatiwa chanjo amesema kuwa, chanjo waliyoipata ni muhimu kwa maisha ya msichana hasa ukizingatia wanawake wengi hupoteza maisha kutokana na ugonjwa wa kansa ya mlango wa kizazi.

"Hii chanjo ni nzuri na ni muhimu kwetu wasichana, kwa kuwa wakina mama wengi wanakufa na kansa ya mlango wa kizazi, tunashukuru serikali kwa kutupatia kinga na inatupa amani ya kutokupata maambukizi" amesema Asnath.

Hafla hiyo imeambatana na igizo lililohamasisha jamii kuhakikisha wasichana wa miaka 14 wanapata chanjo ya Saratani ya Mlango wa Kizazi pamoja na upimaji wa afya, lililotolewa na kikundi cha sanaa cha vijana cha ACE AFRICA.

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya Kimanta amelishukuru shirika lisilo la kiserikali la ACE AFRICA kwa kujitoa kwa halina mali kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii ndani ya halmashauri ya Arusha

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA August 14, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI

    December 22, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA BW. SELEMAN MSUMI AWASHONEA SARE MADEREVA WA HALMASHAURI HIYO

    October 02, 2025
  • WIZARA YA KILIMO KUPITIA MAMLAKA YA UDHIBITI WA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO (COPRA) YAZINDUA RASMI MSIMU WA UNUNUZI WA ZAO LA PARACHICHI KWA MWAKA 2025/2026

    September 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ARUMERU MWINYI AHMED MWINYI AHITIMISHA MAFUNZO YA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT)

    September 21, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.

  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • axl777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Situs Toto
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • AXL777
  • AXL777
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • AXL777
  • toto slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • KOI200
  • yamitoto
  • koi200
  • slot gacor
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • Situs Toto
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • NABITOTO
  • AERO88 Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • slot gacor
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • toto slot
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88