• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DED ARUSHA DC AFUNGUA MASHINDANO YA MICHEZO KWA SHULE ZA MSINGI - UMITASHUMTA 2023 NGAZI YA HALMASHAURI.

Posted on: May 13th, 2023


Na Elinipa Lupembe


Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi, amefungua rasmi mashindano ya michezo kwa wanafunzi wa shule za msingi -  UMITASHUMTA ngazi ya wilaya, yanayofanyika kwenye viwanja vya shule ya sekondari Ilboru.


Akizungumza na wanamichezo hao,  amewataka kufanya juhudi kwenye michezo hiyo muhimu kwa halmashauri,  ili wapate nafasi ya kuchaguliwa, na kuunda timu zitakazoshiriki  UMITASHUMTA ngazi ya mkoa.


"Niwaombe sana wanamichezo wote kuwa na munkari ya ushindi, pale mtakapoingia viwanjani, kujituma ili kuchaguliwa, kwenda kuiwakilisha halmashauri yetu, ngazi ya mkoa, kwa kuwa na nidhamu kusikiliza maelezo ya makocha, pamoja na kufuata kanuni na sheria za mchezo". Amesema Msumi


Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi, Mwl. Alute Salvatory, amesema kuwa, wanamichezo hawa ni washindi kutoka klasta tano za Mateves, Mlangarini, Sekei, Mringa, Ngaramtoni na Oldonyosambu, ambao wanategemewa kuchujwa na kupata timu itakayotuwakilisha  UMITASHUMTA ngazi ya mkoa.


Naye mratibu wa michezo ya UMITASHUMTA halmashauri ya Arusha, Mwl. Khalifa Kiembe, amesema kuwa, wanamichezo hao wameandaliwa vizuri, kimwili na kisaikolojia kupitia walimu wao shuleni,  wako hapa wakiwa na matumaini ya kwenda kuleta ushindi kama ilivyokuwa Mwaka 2022.


"Watoto hawa wana vipaji na wanamwamko mkubwa na hamasa ya michezo,  walizopata kupitia wachezaji wa timu kubwa za ndani na nje ya nchi, hivyo kazi yetu walimu ni maelekezo tu, kwa kuwa tayari wanoa mwamko wa ndani" Amefafanua Mwl. Kiembe



Afisa Michezo Halmashauri ya Arusha, Mwl. Priscus Silayo, amesema kuwa amesema kuwa mashindano hayo yalianzia ngazi ya shule, kata, klasta na hatimaye tunaanza ngazi ya wilaya kwa kufuata muongozo wa ofisi ya Rais - TAMISEMI wa mwaka 2023


Amesema kuwa mashindano hayo yamejumuisha wanamichezo  400 kutoka klasta tano za halmashauri na wanategemewa kuwachujwa na kupata wanamichezo ya 120 watakao kwenda kushiriki  UMITASHUMTA ngazi ya mkoa.


 "Mashindano haya yanajumuisha michezo ya soka, mpira wa netiboli, wavu, kikapu, mikono riadha mpira wa goli, riadha maalum na kikapu ambayo ni michezo mipya katika mashindano ya UMITASHUMTA 2023.


Kaulimbiu ya UMISEMTA 2023: "Uimarishaji wa miundombinu nchini ni chachu ya Maendeleo ya Taaluma, Sanaa na Michezo nnchini


ARUSHA DC ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.