• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DED ARUSHA DC AWATAKA WAKANDARASI KUKAMILISHA MIRADI KWA WAKATI....

Posted on: December 2nd, 2022

Na Elinipa Lupembe

Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi, amewataka mafundi waliopewa kandarasi za ujenzi wa miradi inayoendelea kwenye halmashauri hiyo, kuongeza kasi ya kufanya kazi, ili kukamilisha miradi hiyo kwa wakati kulingana na mikataba yao.

Mkurugenzi Msumi ameyasema hayo, wakati akikagua  maendeleo ya utekelezaji wa miradi katika sekta ya elimu na afya inayotekelezwa katika halmashauri hiyo na kukutana na mafundi wakiendelea na kazi za ujenzi.

Aidha amewasihi wakandarasi hao, kutambua kuwa miradi ya serikali ina muda wake maalum wa utekelezaji kulingana na malengo ya mradi, na kuwataka kuhakikisha wanakamilisha kazi hizo kwa wakati.

"Serikali imewaamini na kuwapa dhamana ya kufanya kazi hizo, wapo walioomba wakakosa, tumieni fursa hii mliyopewa kufanya kazi zenye ubora pamoja na kukamilisha kwa wakati ulio kwenye mikataba yenu, kinyume na hapo mtapoteza sifa na kuvunjiwa mikataba yenu". Amesisitiza Msumi

Hata hivyo Mkurugenzi amezitaka kamati za usimamizi wa miradi hiyo ngazi ya jamii, kuwabana wakandarasi hao na kuhakikisha  mafundi wanakuwa kazini 'site' wakati wote.

Akizungumza na Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi Zahanati ya Mirongoine, amewasitiza kuwabana mafundi waliowapa kazi kwa kuhakikisha wanafuata ratiba yao ya kazi waliyoiwasilisha kwenye mkataba, kwa kufanya hivyo ujenzi utakamilika kwa wakati.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya ujenzi, Zahanati ya Mirongoine, Ibrahimu Lemeirudi licha ya kuishukuru serikali kwa kuwapa fedha milioni 50 za kukamilisha ujenzi wa zahanati yao, ameipongeza serikali kwa kutumia force akaunti, utaratibu unaowapa fursa wananchi kusimamia miradi inayotekelezwa katika maeneo yao.

Ameongeza kuwa utaratibu huu, unawapa fursa wananchi kuilinda miradi hii na kufahamu hatua zote za utekeleza na kuhakikisha hakuna ubadhilifu wala upotevu wa fedha na mali ya Umma.

"Serikali kutumia kamati za wananchi, inasaidia usimamizi wa karibu, tunafahamu hatua zote za mradi, kuanzi mikataba, manunuzi, mapokezi ya vifaa na utunzaji, matumizi ya fedha zote za ujenzi hadi kulipia huduma zote kwa usimamizi wa watalamu wa halmashauri,lakini zaidi wananchi tunatambua mradi huu ni mali yetu". Amebainisha Mwenyekiti wa kamati.

Awali mkurugenzi huyo akiambatana na timu ya menejimenti (CMT), wamekagua miradi yenye thamani ya shilingi milioni 470, inayoendelea katika kata Laroi, Oljoro, Bwawani, Nduruma na Mlangarini.


ARUSHA DC

KaziInaendelea✍✍



MATUKIO YA UKAGUZI WA MIRADI KATIKA PICHA 

Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi, akizungumza na mafundi wanaojenga maabara ya shule mpya ya sekondari Olomitu kata ya Mlangarini, wakati akikagua utekelzaji wa miradi inayoendelea kutekelzwa katika halmasahuri hiyo

Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi, akizungumza na Mwenyekiti wa Kamati ya ujenzi zahanati ya Mirongoine kata ya Oljoro Bw. Ibrahim Lemeirudi,  wakati akikagua utekelzaji wa miradi inayoendelea kutekelzwa katika halmasahuri hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi, akikagua ujenzi wa Zahanati ya Laroi, wakati akikagua utekelzaji wa miradi inayoendelea kutekelzwa katika halmasahuri hiyo.


Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi, akikagua ujenzi wa Zahanati ya Laroi, wakati akikagua utekelzaji wa miradi inayoendelea kutekelzwa katika halmasahuri hiyo


Mafundi wakiendelea na kazi ya umaliziaji wa zahanati ya Laroi

Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi,akikagua ujenzi wa Zahanati ya Laroi, wakati akikagua utekelzaji wa miradi inayoendelea kutekelzwa katika halmasahuri hiyo.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.