• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DED ARUSHA DC AWATAKA WANANCHI AMBAO HAWAJAHESABIWA KUWA NA SUBRA ZOEZI LINAENDELEA

Posted on: August 24th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha Seleman Msumi, amewataka wananchi wa halmashauri hiyo ambao bado hawajahesabiwa, kuondoa hofu kwa kuwa zoezi hilo la Sensa ya Watu na makazi linaendelea mpaka kufikia tarehe 30.08.2022.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi ofisini kwake, Mkurugenzi Msumi, amewasisitiza Wakuu wa Kaya ambao kaya zao hazijafikiwa na Makarani kuhesabiwa na hawatakuwepo nyumbani, kuhakikisha wameacha taarifa zao za msingi nyumbani ili Karani wa Sensa atakapopita akute taarifa hizo.

"Zoezi la Sensa bado linaendelea niwatake wakuu wa kaya kuacha taarifa zao nyumbani, pindi Karani atakapofika atachukua taarifa hizo na Karani atalazimika kukupigia simu na atakapokupigia simu kuhakiki usahihi wa taarifa zako, ninawasihi kupokea simu hiyo na kutoa ushirikiano" Amesema Mkurugenzi Msumi.

Amezitaja taarifa za msingi ambazo Mkuu wa Kaya, anatakiwa kuziacha nyumbani ni pamoja na majina Kamili (majina matatu), idadi wa watu waliolala kwenye kaya na uhusiano wa mkuu wa Kaya na watu waliolala usiku wa kuamkia siku ya Sensa, Jinsi (me/ke), hali ya ndoa ya mkuu wa kaya (ameoa/hajaoa), namba za simu na  namba za nida.

Hata hivyo mkurugenzi huyo, amebainisha kuwa, zoezi la Sensa linaendela vizuri, kukiwa hakuna changamoto kubwa iliyojitokeza, na kuongeza kuwa wakazi wa halmashauri hiyo, wanamwitikiao chanya, wakiendelea kutoa ushirikiano kwa makarani wa Sensa huku wengi wao wakiacha taarifa zao nyumbani pindi wanapokwenda kwenye shughuli zao za kutafuta riziki.

Zoezi la Sensa ya watu na Makazi linaendelea katika halmashauri ya Arusha, kukiwa na hali ya amani na utulivu, huku wakazi wa halmasahuri hiyo wakiendelea na shughuli zao na kuacha taarifa zinazohitajika nyumbani.

HAKIKISHA UMEHESABIWA✍✍







Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.