• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DED ARUSHA DC; MAONESHO YA NANENANE NI FURSA KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI...

Posted on: August 7th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Wakulima na wafugaji wametakiwa kutumia fursa ya maonesho ya Nanenane ili kuweza kujifunza mbinu za kilimo kwa kutumia teknolojia rahisi na za kisasa zitakazo muwezesha mkulima na mfugaji kupata mazao mengi zaidi.


Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha Seleman Msumi,  kwenye banda la Kilimo la Halmashauri hiyo, kwa kuwahamasisha wakulima na wafugaji kutembelea banda hilo kujifunza mambo mbalimbali ya kilimo.


Mkurugenai Msumi amesema kuwa, Maenesho ya 8'8 ni fursa kubwa kwa wakulima na wafugaji kuweza kujifunza teknolojia mbalimbali za kisasa pamoja na kupata uelewa wa matumizi ya njia mbadala za uhifadhi wa chakula bila kutumia kemikali pamoja na ufugaji unaoenda sambamba na  utunzaji wa mazingira.


"Kupitia mabanda yetu, wapo watalamu wanaotoa elimu bure ya kilimo na ufugaji wa kisasa, matumizi ya teknolojia rahisi, mnyororo wa thamani katika uzalishaji wa mazao ya kilimo na mifugo, namna bora ya uhifadhi wa chakula kuanzia shambani mpaka kumfikia mlaji, hivyo niwatake wananchi kufika kwenye mabanda yetu kujipatia utaalamu huo" Amesisitiza Msumi.


Hata hivyo amewataka vijana kujiingiza kwenye kilimo kwa kuwa

serikali imeongeza bajeti ya Kilimo ili kuwawezesha vijana kujiingiza kwenye kilimo biashara na kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa ajira nchini.


Ameongeza kuwa sera ya nchi kupitia wizara ya Kilimo ni kuwawezesha vijana kujiajiri kwenye sekta ya kilimo ili kujikwamua kiuchumi na kukuza uchumi wa nchi kupitia kilimo.


Naye Afisa Kilimo Halmashauri ya Arusha Bahati Mtweve, amefafanua Wanawake na Vijana ndio msingi imara wa kuhakikisha misingi endelevu ya chakula kuanzia kwenye uzalishaji, uvunaji, uhifahi mpaka kumfikia mlaji na kuwataka wananchi kufika kwenye maenesho hayo kujionea namna vijana na wanawake wanapaswa kufanya kufikia malengo hayo ya serikali.


"Tunataka watu waje wajifunze usalama wa chakula na mifumo bora ya uhifadhi wa chakula kwa kupunguza uhifadhi wa kutumia kemikali ili kuwa na chakula salama kwa afya za wanadamu"




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.