• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DED MAHERA ATOA MAELEKEZO KWA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI, MAAFISA ELIMU KATA NA MAAFISA WATENDAJI WA KATA

Posted on: January 8th, 2019

Na. Elinipa Lupembe

# Amewataka kufanya kazi kwa kushirikiana kama timu na kuwa na uelewa wa pamoja, juu ya mkakati wa kuendeleza elimu ndani ya hamashauri kwa kuzingatia dira ya halmashauri  ya kutoa huduma bora kwa jamii.

# Amewapongeza kwa kazi nzuri iliyowezesha ongezeko kubwa la ufaulu wa wanafunzi katika halmashauri ya Arusha, kutokana na matokeo ya kidato cha pili kwa kufaulu kwa asilimia 90% na kushika nafasi ya 50 kitaifa kutoka nafasi ya 87 mwaka 2017 huku ufaulu wa darasa la nne ukiwa wa asilimia 97.3% na kushika nafasi ya 33 kitaifa kutoka nafasi ya 60 mwaka 2017 wakati darasa la saba wakifaulu kwa asilimia 75% na kushika nafasi ya 21 kitaifa kutoka nafadi ya 91 mwaja 2017 na kuongoza kimkoa ikiwa ni mafanikio makubwa kwa jamii ya wana halmashauri ya Arusha.

# Pia amewapongeza wadau wote wa maendeleo waliojitokeza kuwezesha sekta ya  elimu, kwa kazi nzuri walioifanya iliyofanikisha halmashauri kufikia mafanikio hayo makubwa na kuwataka waendelee kujitoa kuunga mkono juhudi za serikali ili kuongeza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi na kufikia asilimia 100%.

# Amewataka waratibu wa elimu kata zote kuwa na taarifa sahihi na zenye uhalisia zinazohusu shule zote ndani ya maeneo yao, ikiwemo, ikwemo idadi ya wanafunzi, idadi ya waalimu waliopo na upungufu, idadi ya vyumba vya madarasa, vyoo, ofisi za walimu, maabara na upungufu wake, pamoja na hali halisi ya  miundombinu katika shule zote.

# Amewataka kushirikiana na viongozi wa kata na vijiji,  kuweka mikakati ya kutatua changamoto zinazozikabili shule katika maeneo yao, hasa katika kuboresha ikiwemo miundombinu ya shule pamoja na kubuni mbinu rafiki zitakazo saidia katika ufundishaji na kujifunza kwa kuwaweka karibu walimu na wazazi.

# Amewataka Maafisa Watendaji wa Kata na vijiji kushiriki, kusimamia sekta ya elimu kwa kuwaelimisha na kuwahamasisha  wananchi kuchangia ujenzi  wa miundombinu ya shule , pamoja na kuchangia chakula cha watoto wao kwa shule za kutwa.

# Amewataka Maafisa Elimu kata kuzifuatilia shule ambazo hazikufanya vizuri kwenye mtihani yote ya kitaifa na kubaini changamoto zinazozikabili na kuja na mkakati wa kupandisha ufaulu wa shule hizo.

# Wazazi wa maeneo husika wanatakiwa kutambua kuwa shule hizo ni mali yao na wanapaswa kufahamu changamoto za elimu katika maeneo yao na kujitoa kuchangia utatuzi wa changamoto hizo.

# Amemuagiza Mkaguzi wa ndani, kufanya ukaguzi kwenye shule shule ili kubaini changamoto zinazokabili shule  na kuzitatua kwa haraka.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.