• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DIWANI KATA YA MATEVESI Mhe. FREDDY LUKUMAY ACHAGULIWA KUWA MAKAMU MWENYEKITI HALMASHAURI YA ARUSHA

Posted on: August 11th, 2023

Na Elinipa Lupembe.

Diwani wa kata ya Matevesi, Mhe. Freddy Lukumay (CCM), amekuwa Makamu Mwenyekiti halmashauri ya Arusha, mara baada ya kuchaguliwa kwa kura  28 za ndiyo kati ya kura 29 wakati wa mkutano maalumu wa Baraza la Madiwani la kufunga mwaka  wa fedha 2022/2023

Akitangaza matokeo hayo, Mkuu wa Kitengo cha Sheria, halmashauri ya Arusha, Monica Mwailolo, amesema kuwa kwa kuwa hakuna jina la mgombea mwingine lililowasilishwa hivyo Kwa mujibu wa Kanuni ya  9 (4)  ya Kanuni za Kudumu za Halmashauri 2013; iwapo wakati wa kumchagua Mwenyekiti au Makamu  Mwenyekiti jina moja tu limependekezwa, wajumbe watapiga kura za Siri za "ndiyo" au " hapana" na endapo kura za "ndiyo" zitazidi asilimia hamsini ya kura zote zilizopigwa basi mgombea atatangazwa kuwa mwenyekiti au makamu Mwenyekiti.

Aidha baada ya zoezi la kupiga kura kukamilika, Mwailolo alitangaza matokeo hayo kuwa, jumla ya wajumbe 29 walipiga kura na kura za ndiyo zilikuwa 28 huku ka 1 ikiharibika, na kumtangaza Mhe. Freddy Lukumay kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arusha mara baada ya kushinda kwa kura ya ndio,  na kuweka wazi kuwa kisheria Makamu mwenyekiti anashika nafasi hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja.

"Kwa kuwa hakuna jina la mgombea mwingine lililowasilishwa hivyo kwa mujibu wa  kanuni, tutumelazimika kupiga kura ya ndiyo na kwa kuwa amepata zaidi ya 50% ya kura za ndiyo, ninamtangaza Mheshimiwa Freddy Lukumay  kuwa Makamu Mwenyekiti wa halmashauri na atatumikia nafasi hii kwa mujibu wa sheria,kanuni na taratibu za Serikali za Mitaa".Amesisitiza Mwailolo

Mhe.Freddy  ameshinda kwa kura za ndio, kutokana na kuwa mgombea pekee wa nafasi hiyo, na kuchukua nafasi ya Mhe. Selina Mollel aliyehudumu nafasi ya Makamu mwenyekiti kwa kipindi cha mwaka mmoja ulioanzia Julai 2022 na Kuishia Juni 2023..

Hata hivyo Mhe. Freddy, amewashukuru Waheshimiwa Madiwani wenzake kwa kumuamini na kumchagua kushika nafasi hiyo kwa mara ya pili katika Baraza hilo na kuahidi kushirikiana na Mwenyekiti na uongozi mzima wa halmashauri kwa kuhakikisha mipango na uteklezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo zinasimamiwa vizuri kwa maslahi mapana ya wananwana.









Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.