• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri ya Arusha kuadhimisho ya siku ya Hedhi Duniani - Mukulat Sekondari tarehe 28.05.2018

Posted on: May 25th, 2018

Halmashauri ya Arusha inategemea kuadhimisha Siku ya Hedhi Duniani itakayofanyika siku ya Jumatau,  28.05.2018 kwenye viwanja vya shule ya sekondari Mukulat kata ya Lemanyata.

Akizungumzia siku hiyo Afisa Afya halmashauri ya Arusha, Issa Msumari amesema kuwa siku hiyo ni muhimu kwa wasichana na wanawake wote ili  kuwa na hedhi salama isiyo na kikwazo.  

Ameongeza kuwa mwanamke anatakiwa kuwa na hedhi isiyokuwa na maudhi yoyote na isiyomkwamisha mwanamke kufanya shughuli zake za kiuchumi na isiyomkwamisha msichana kwenye masoma.

Msumari amefafanua hedhi salama ni ile isiyokuwa na vikwazo wala maudhi ikiwemo michubuko, muwasho na maumivu pamoja na kupata maji safi, vifaa vya kujisitiri pamoja na eneo la kujisitiria.

 "Mwanamke anatakiwa kupata hedhi isiyokuwa na michubuko, isiyokuwa na miwasho wala isiyokuwa na maumivu yoyote"amesema Afisa Afya huyo.

Naye mratibu wa miradi kutoka shirika la WaterAid Tanzania, Upendo Mntambo amesema kuwa, umefika wakati wa jamii kuanzia ngazi ya kaya, serikali na  taasisi zisizo za serikali kushirikiana na kuhakikisha mwanamke anapata hedhi iliyo salama. 

Mntambo ameeleza kuwa hedhi salama inamzuia mwanamke kupata magonjwa ya kuambikuiza kwenye via vya uzazi lakini pia inamfanya mwanamke kufanya shughuli zake bila kikwazo chochote akiwa na uhuru na amani mbele ya jamii yake. 

Siku ya hedhi duniani huadhimishwa kila mwaka tarehe 28.05.2018 na kauli mbiu ya mwaka huu ni 'HAKUNA TENA KIKWAZO' ikimaanisha kuwa na hedhi huru isiyo na kikwazo chochote.

Wananchi wote wa kata ya Lemanyata na kata za jirani wanaombwa kuhudhuria maadhimisho hayo ili kuoata elimu na maarifa zaidi juu ya hedhi salama na usalama wa mwanamke wakati wa hedhi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.