• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

JUMLA YA WANAFUNZI 9,711 KUFANYA MTIHANI WA TAIFA DARASA LA SABA 2022 ARUSHA DC

Posted on: October 5th, 2022

Na Elinipa Lupembe

Jumla ya wanafunzi 9,711 wa shule za msingi 141 halmashauri ya Arusha, wanatarajia kufanya mtihani wa Taifa wa kuhitimu darasa la saba mwaka 2022 kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Baraza la Mitihani la Taifa.

Akizungumza na mwandishi wetu, ofisini kwake Mwenyekiti wa kamati ya Mitihani, halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi, amesema kuwa tayari taratibu zote za maandalizi ya mtihani zimekamilika na wasimamizi wote walishapatiwa semina za usimamizi wa mtihani, walimu na  wanafunzi wamejiandaa kwa mtihani huo.

Aidha Mkurugenzi Msumi, licha ya kuwatakia kila la Kheri wanafunzi wote wanaofanya mtihani huo, lakini amewataka wasimamizi wote kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za Mtihani wa Taifa na kuepuka aina yoyote ya vitendo vya udanganyifu katika mtihani huo kwa kuwa tayari maelekezo yote yameshatolewa.

"Niwatake wasimamizi wote kufuata taratibu, serikali  haitavumilia kwa yoyote atakayejihusisha na udanganyifu wa aina yoyote, ninamini wengi wetu ni wazazi, tuwasimamie vizuri na kwa uaminifu watoto hawa wasio na hatia, msiwaangize kwenye matatizo yasiyowahusu" Amesistiza Mkurugenzi Msumi

Naye Mkuu wa Idara ya  Elimu Msingi, Mwl. Salvatory Alute amethibitisha kukamilika kwa taratibu zote za maandalizi ya mtihani wa kuhitimu darasa la saba na kuweka wazi kuwa jumla ya wanafunzi 9,711 kufanya mtihani huo kwa siku mbili tarehe 05 - 06 Oktoba, 2022.

Aidha Afisa Elimu huyo, ameweka wazi kuwa idadi hiyo ya wanafunzi 9,711 watakaofanya mtihani huo, wavulana ni 4,628 na wasichana 5,083 kutoka shule 141 za msingi, huku shule 93 za serikali na shule 48 za taasisi na zile za binafsi.

Uongozi wa halmashauri ya Arusha, unawatakia kila la kheri wanafunzi wote wanaofanya mtihani wa Taifa wa  kuhitimu darasa la saba 2022, Mwenyenzi Mungu awasimamie.


KILA LA KHERI WANAFUNZI WOTE WANAOFANYA MTIHANI WA TAIFA, MWENYENZI MUNGU AWASIMAMIE


ARUSHA DC

#Kazi Inaendea


Pichani: wanafunzi wa darasa la VII shule ya msingi Oldonyosambu








Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.