• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAIMU MGANGA MKUU ARUSHA DC DKT. JOPHET CHAMPANDA AMEWATAKA WAJUMBE WA KIKAO KUJADILI VIFO VITOKANANYO NA UZAZI NA WATOTO WACHANGA

Posted on: July 9th, 2024

Kaimu Mganga Mkuu Halmashauri ya Arusha,Daktari Japhet Champanda amewataka wajumbe wa kikao cha kujadili vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kujikita katika kutafuta suluhisho la kutokomeza vifo vya mama na mtoto katika Halmashauri ya Arusha.


Daktari,Champanda ametoa rai hiyo leo tarehe 9/07/2024 wakati akifungua kikao cha robo mwaka ya nne ya mwaka wa fedha 2023/2024 chenye lengo la kujadili changamoto zinapelekea vifo vinavyotokana na uzazi na watoto wachanga katika jamii kisha kuja na mikakati bora ya kuzuia vifo hivyo.

Akitoa takwimu za kupungua kwa Vifo hivyo,Muunguzi Mkuu wa Halmshauri ya Arusha Bi.Noemi Peter Temu amesema, kwa kipindi cha mwezi januari hadi machi 2024 kulikuwa na vifo 11 vilivyotokana na uzazi na watoto wachanga ambapo takwimu hizo zionyesha kupungua kwa kipindi cha mwezi aprili hadi juni 2024 na kufikia vifo 9 vinavyotokana na changamoto hiyo.


Bi.Temu amesema kupungua kwa vifo hivyo kumetokana na mikakati mbalimbali waliojiwekea Idara ya Afya katika Halmashauri ya Arusha ikiwemo utoaji wa elimu kuhusu uzazi salama,mjamzito kuhudhuria kliniki kwa wakati pamoja na elimu juu ya lishe bora kwa mama mjamzito na watoto wachanga.


Ajenda Kuu za Kikao hicho ni pamoja na mkakatiti kambambe wa kuhakikisha Halmashauri ya Arusha endelea kupunguza vifo vinavyotokana na uzazi na watoto wachanga,kwa kuhakikisha elimu ya uzazi na lishe bora inaendelea kutolewa kwa mama mjamzito na watoto katika jamii pamoja na kuwasisitiza umuhimu wa kuhudhuria kliniki

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.