• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA FEDHA YAKAGUA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA YA MTUMISHI ZAHANATI YA ILKIREVI.

Posted on: May 2nd, 2023

Na Elinipa Lupembe

Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango, wakikagua mradi wa ujenzi wa nyumba ya mtumishi zahanati ya Ilkirevi kata ya Olturo.


Mradi huo wa ujenzi wa nyumba ya mtumishi umetekelezwa kwa gharama ya shilingi milioni 50 fedha kutoka Serikali kuu, kwa lengo la kuboresha mazingira rafiki kwa wahudumu wa afya nchini.


Awali Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arusha, mhe. Dkt. ojung'u Salekwa  licha ya kuridhishwa na utekezwaaji wa mradi huo, amewapongeza watalam wa halmashauri kwa usimamizi wa mradi huo na kuwataka kufanyia ushauri uliotolewa na madiwani pamoja na kurekebisha mapungufu yaliyoonekana.


Hata hiyo Mwenyekiti wa Kijiji cha Ilkirevi, Mhe. Abraham Mollel, ameishukuru serikali kwa niaba ya wanachi wa kijiji hicho kwa kupeleka mradi wa ujenzi wa nyumba ya mtumishi kwenye zahanati yao.


"Tunaishukuru sana serikali kwa kutuletea mradi huu, kwa sasa daktari atahudumia wananchi muda wote tofauti na ilivyokuwa hapo awali ambapo daktari, alikuwa anaishi mbali na kituo cha kazi na kupelekea wananchi kukosa huduma katika maeneo ya karibu, kwa sasa huduma zimeboreka". Ameweka wazi Mwenyekiti Mollel


Awali katika ziara hiyo, jumla ya Miradi 6 yenye thamani ya shilingi milioni 234.4, ikiwemo ujenzi wa nyumba ya mtumishi zahanati ya Ilkirevi, umaliziaji wa vyumba vitano vya madarasa na ofisi ya walimu, ukarabati wa kituo cha walimu - TRC Mringa, Kikundi cha vijana - KIDALI YOUTH GROUP, Ujenzi wa Zahanati kijiji cha Lemugur, ujenzi wa uzio shule ya uzio wa shule ya msingi iliburu imetembelewa.


ARUSHA DC ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.