• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Maafisa watendaji wa kata 14 kukusanya takwimu za vyoo kwenye kaya

Posted on: May 8th, 2018

Halmashauri ya Arusha kwa kushirikiana na shirika lisilo la Maendeleo la SNV la nchini Uholanzi wametoa mafunzo kwa watendaji  a kata 14 juu ya ujazaji wa takwimu za uwepo wa vyoo bora katika maeneo yao.  

Mafunzo hayo ya siku moja yamehusisha Maafisa Watendaji wa kata 14 na maafisa watendaji wa vijiji ndani ya kata hizo, ili waweze kufuatilia takwimu za aina za vyoo, vinavyotumika kwenye kaya kwa kulinganisha na aina ya nyumba ya kaya husika.

Akizingumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Afisa Afya halmashauri ya Arusha, Issa Msumari, amesema kuwa, watendaji wa kata na vijiji wanatakiwa kupita nyumba kwa nyumba, kufanya ukaguzi wa vyoo vinavyotumika kwenye kaya na kutambua aina ya vyoo kwa kulinganisha na nyumba inayotumika.

Ameongeza kuwa, takwimu hizo zitasaidia kutambua hali halisi ya matumizi ya vyoo bora katika maeneno hayo,  kufuatia mafunzo ya uhamasishaji ya ujenzi wa vyoo bora yaliyotolewa kwenye kaya hizo kufuatia kampeni ya nyumba ni choo.

"Imeonekana kuwa, kaya inajenga nyumba bora ya kuishi na kusahau ujenzi wa choo bora, bila kufahamu kuwa nyumba ni choo, unakuta nyumba nzuri but choo cha ovyo,hakina hata usiri, kimezungushiwa maturubai". amesema Msumari

Hata hivyo Afisa Afya huyo, amefafanua kuwa, takwimu zinaonesha kuwa asilimia 3 ya wakazi wa halmashauri ya Arusha hawana vyoo bora na kuongeza kuwa kupitia kampeni ya nyumba ni choo, halmashauri inategemea kufikia aslimia 100 ya matumizi ya vyoo bora mwishoni mwa mwaka huu.

Mshauri wa masula ya Usafi na Mazingira wa shirika la SNV, Anna Emmanuel, amesema kuwa, lengo la mafunzo hayo ni kuhakikisha watendaji wanakusanya takwimu sahihi za matumizi ya vyoo, kwenye kaya katika maeneo yao.

Takwimu hizi zitatoa taswira ya hali halisi ya matumizi ya vyoo, ambazo zitawezesha kupata hali halisi ya mabadiliko ya tabia ya jamii kutoka kwenye tabia ya kunya nje na kwenda kunya chooni, kwa kuwa tendo hilo ni la siri na linahitaji choo bora.

Naye Afisa Mtendaji wa kijiji cha Oljoro, Lootha Sikoreim amethibitisha kuwa, watu wengi katika maeneo ya vijijini, wanapojenga nyumba, choo huwa hakipo kwenye bajeti, mara nyingi hujenga kwa hutumia vifaa vilivyobaki baada ya ujenzi wa nyumba kukamilika.

"Ni kawaida mtu anajenga nyumba, baada ya nyumba kukamilika anatumia vipande vya tofali, mabaki ya mabati, saruji kujenga choo, kwa hali hiyo lazima choo hakitalingana na nyumba, na wakati mwingine pesa ikiisha basi choo hakitajengwa" amesema Sikorei

Hata hivyo elimu inaendelea kutolewa kwa wananchi, ili kuhakikisha ujenzi wa nyumba unaendana na ujenzi wa vyoo ili kuwe na uwiano kati ya nyumba na choo.

Maafisa Watendaji waliopata mafunzo hayo ni wa kata za Nduruma, Lemanyata, Bwawani, Musa, Laroi, Oldonyosambu,Kisongo, Oldonyowas, Tarakwa, Sambasha, Oljoro, Kiutu na Olturoto.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.