• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAKAMU MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM TAIFA ABDULRAMAN KINANA AMETOA WITO KWA VIONGOZI WA CHAMA KUWA MSTARA MBELE

Posted on: July 17th, 2024

Makamu mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa Abdulrahaman Kinana ametoa wito kwa viongozi wa chama hicho kuwa mstari wa mbele katika kukemea vitendo vinavyochangia mmomonyoko wa maadili na kukiuka mila,Tamaduni na Desturi ikiwa ni Pamoja na kusimamia kikamilifu suala la malezi katika jamii ili kuwa na jamii inayoweza kulisaidia Taifa kuwa na maendeleo.


Akizungumza katika kongamano la Maadili na malezi lililoandaliwa na Jumuiya ya wazazi Tanzania Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa Abdullahaman Kinana amesema ili Taifa lolote liwe na maendeleo linapaswa kuhakikisha suala la maadili na malezi bora linapewa kipaombele kwani ndiyo msingi wa kuwa na watu wanaoweza kusimamia shughuli za maendeleo na ustawi wa jamii kwa umjula.


Kinana alieleza kuwa Maadili yapatikana kutokana na malezi,na mafunzo huku akitaja wanaofanya kazi hii yakusimamia malezi na maadili kwanza ni familia ambapo alisema familia ndiyo msingi wa uwepo wa jamii ambapo kila mtu anatokea hivyo iwapo familia haita muandaa mtoto kuwa mtu bora pindi anapofikia umri wa utu uzima upo uwezekeno mkubwa wa kuwa na watu wasiowajibika na kulisaidia Taifa,pili jukumu la malezi lipo mikononi mwa jamii kwani inayodhamana ya kusimamiana maadili na tatu ni shule kuanzia awali mpaka vyuo vikuu,


“maadili ni mema ni muunganiko wa tabia zinazotokana na wajibu unaofanywa na kundi la watu katika eneo Fulani ambao wameamua kuishi kwa mfumo unaozingatia misingi ya kuheshimiana,kusaidiana,kushauriana na kukemeana pale wanapobaini kuwepo kwa baadhi yao wanaokwenda kinyume na utaratibu kwa kuzingatia Tamaduni zao”


“wazazi wanapaswa kuhakikisha wanamuandaa mtoto katika misingi imara na bora itakayomsaidia kukabiliana na tabia zianzoweza kubadilisha mwenendo wa Maisha yake lakini pili jamii inaowajibu wa kukemea na kukataa vitendo vyote vinavyopotosha maadili katika maeneo yao”alisema Kinana


Alisema taasisi kama serikali,madhehebu ya dini yanaomchango mkubwa katika kuhakikisha jamii inakuwa na maadili yanayoweza kutoa nafasi ya kukataa vitendo na kauli zinazopingana na utamaduni uliopo ikiwemo kukataa vitendo vya rushwa,Ubaguzi na mengine yanayofanana na hayo

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.