• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2022, HALMASHAURI YA ARUSHA WILAYA YA ARUMERU.

Posted on: June 22nd, 2022

MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA ARUSHA WILAYA YA ARUMERU.

Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango anategemea kupokea Mwenge wa Uhuru katika halmashauri ya Arusha, wilaya ya Arumeru kesho tarehe 23.06.2022, kwenye viwanja vya shule ya sekondari Oldadai ukitoke halmashauri ya Jiji la Arusha.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2022, ndugu Sahil Nyanzabara Geraruma atakimbiza Mwenge wa Uhuru Kilomita 90.4, na kupitia jumla ya Miradi 9 yenye thamani ya shilingi Bilioni 4.2 kwenye sekta ya elimu, afya, maji, miundombinu ya barabara na uwekezaji.

Ukiwa katika halmashauri ya Arusha Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, atatembeeka na kukagua mradi wa ukamilishaji ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa, shule ya sekondari Oldadai uliogharimu shilingi milioni 40.5, ikiwa milioni 19.4 ni michango ya wananchi na milioni 8.5 ni michango ya Mwenge wa Uhuru na milioni 12.5 fedha ya Serikali Kuu kupitia Tozo za mihamala ya simu. Pia Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru atazindua ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa shule ya sekondari Oldadai, Mradi uliogharimu kiasi cha shilingi milioni 40 Fedha za mapambano dhidi ya UVIKO-19.

Aidha Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru  atatembelea miradi ujenzi wa mradi wa maji wa vijiji 5 Losikito - Mwandeti  utakaogharimu kiasi cha shilingi Bilioni  2.5, Mradi wa Uwekezaji kiwanda cha Maziwa SIVAT wenye thamani ya shilingi milioni 506, Nyumba maalum ya Warahibu wa Madawa ya kulevya kata ya Olturumet.


Kituo cha kutoa virutubisho kwa watoto wenye utapiamlo Mateves, mradi wenye thamani ya shilingi milioni 2.6 pamoja na Kikundi cha Vijana (WINNER STUNNA) kilichopewa mkopo wa asilimi 4 ya vijana kiasi cha shilingi milioni 10, fedha za Mapato ya ndani ya Halmashauri.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru atazindua Kiwanda cha maziwa SIVAT, mradi wenye thamani ya shilingi milioni 506 ikiwa ni fedha za michango ya wananchi na mradi wa barabara ya Martenity Africa wenye thamani ya shilingi milioni 897 fedha kutoka Serikali Kuu.

Kadhalika Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru ataweka jiwe la Msingi kwenye kituo cha Afya Oloirieni, Mradi uliogharimu kiasi cha shilingi milioni 450 huku shilingi  milioni 400 zikiwa ni fedha za Mapato ya Ndani kupitia fidia ya deni la Lakilaki na shilingi milioni 50 fedha kutoka Serikali Kuu.

Licha ya kukagua utekelezaji wa  Miradi ya Maendeleo,  Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, atazindua Muunganiko wa Klabu ya Wapinga Rusha na Skaut (TAKUSCA) katika shule ya sekondari ya Oldadai pamoja na kutatoa Ujumbe wa Mwenge wa Uhuru kwa wananchi wa halmashauri ya Arusha.

Hatimaye Mwenge wa Uhuru utakesha kwenye viwanja vya Makao Makuu ya Halmashauri ya Arusha, eneo la Sekei kata ya Kiutu, na kisha kukabiidhiwa kwenye halmashauri ya Wilaya ya Meru.Mkuu wa Wilaya anawakaribisha wananchi wote kushiriki kwenye mapkezi ya Mwenge wa Uhuru, kwenye miradi pamoja na mkesha.

MWENGE WA UHURU Hoyeeeeeeee





Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.