• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MHE. OJUNG'U AMEWAONGOZA WANAFUNZI KUPANDA MITI KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWA Mhe. RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Posted on: January 27th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arusha, Mhe. Ojung'u Salekwa amewaongoza wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kata ya Mlangarini kupanda miti ikiwa ni ishara ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo 27, Januari, 2023.

Zoezi hilo la upandaji miti limefanyika mapema asubuhi ya leo kwenye eneo la shule ya msingi ya mchepuo wa kiingereza ya Enyorata inayomilikiwa na halmashauri ya Arusha.

Mwenyekiti Ojungu amebainisha kuwa zoezi hilo la kuotesha miti ni muhimu kwa wanaarusha DC, na zaidi ni ishara ya upendo kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Amesisitiza kuwa uwepo wa miti shuleni hapo utasiadia utunzaji wa mazingira hayo makame pamoja na upatikanaji wa hewa safi katika eneo hilo.

"Kuotesha miti ni jambo la moja lakini, kwa kumbukumbu ya siku hii muhimu ya Mheshimiwa Rais, miti hii inatakiwa kutunzwa vizuri zaidi kwa umuhimu wake ikiwa ni  kumbukizi ya mama yetu" . Amesema Mwenyekiti Ojung'u

Nao wanafunzi wa shule ya Msingi Enyorata wameshiriki zoezi la kuoetesha miti na kuahidi kuitunza miti hiyo kwa ajili ya afya ya mama Samia na kwa afya zao.

Nathan Piniel mwanafunzi wa darasa la IV, wamemtakia kila la kheri mama Samia na kuweka wazi kuwa wanampenda sana, na wanaamini ni mama wa Watanzania wote.

"We all love mama Samia, is the mother of our country, we plant the threes to show a real  love to her" Said Herieth Marick

Awali jumla ya miti 1,200 inatarajiwa kueoteshwa leo kwenye shule 11 za msingi na Sekondari za kata ya Mlangarini ikiwa ni maalum kwa kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Dkt. Samia Suluhu Hassan.


"ARUSHA DC Yetu, Tushirikiane Kuijenga"
#KaziInaendelea✍✍✍ 


PICHA ZA MATUKIO YA UPANDAJI MITI










Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.