• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Miaka 4 ya JPM shule ya Sekondari ya kata Mlangarini yajengewa Bweni

Posted on: February 25th, 2020

Na. Elinipa Lupembe.

Katika  kipindi cha Miaka 4 ya Serikali ya awamu ya tano, inayoongozwa na Dkt. John Pombe Magufuli,  kupitia  miradi ya Lipa kutokana na matokeo 'Education Payment for Result' (EP4R), imeweza kuboresha miundombinu ya shule za kata nchini.

Shule ya sekondari Mlangarini, halmashauri ya Arusha, wilaya ya Arumeru, ni miongoni mwa shule zilizonufaika na miradi hiyo kwa kuipandishwa hadhi na kuwa shule ya kidato cha tano na cha sita 'High School', na  kuleta mamilioni ya fedha kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya shule hiyo ya kata, ili iweze kuendana na hadhi ya shule nyingine za kidato cha tano na sita.

Mwaka wa fedha 2016/2017, Serikali ilianza kutoa fedha, kiasi cha shilingi milioni 250, fedha zilizofanikisha ujenzi wa  Bweni la  wasichana 80, ujenzi wa vyumba 6 vya madarasa, ukarabati wa maabara tatu za masomo Sayansi pamoja na ujenzi wa vyoo vya wanafunzi.

Hata hivyo kutokana matokeo mazuri ya usimamizi wa miradi hiyo, mwaka huu wa fedha 2018/2019, serikali ilitoa fedha nyingine shuleni hapo, kiasi cha shilingi milioni 110, kwa ajili ya ujenzi wa Maktaba na ukarabati wa bwalo la chakula, ujenzi ambao kukamilika  kwake umeleta mapinduzi makubwa ya kielimu kwa wanafunzi na walimu wa shule hiyo.

Mkakati huo wa serikali ya awamu ya tano, wenye lengo la kupandisha kiwango cha taaluma shuleni, kwa kuwezesha mazingira bora ya kujifunzia na kufundishia, umeendelea kuleta mafanikio chanya kwa shule za msingi na sekondari  nchini.

Aidha, uongozi wa halmashauri ya Arusha,  unawataka wananchi na wadau wote wa elimu ndani na nje ya halmashauri, kuunga mkono juhudi za  Dkt. John Magufuli na Serikali yake ya awamu ya tano, kwa kuchangia ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya shule za serikali, ili kuhakikisha mtoto wa kitanzania kutoka familia masikini naye anapata elimu katika mazingira bora na rafiki.


                   #TULIAHIDI#TUMETEKELEZA#HAPA#KAZI#TUU#



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.