• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI MTENDAJI ARUSHA DC AMPONGEZA NDUGU BATHLOMEO NGESEYAN NA RAFIKI ZAKE

Posted on: November 4th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha ndugu Seleman Msumi, amempongeza na kumshukuru ndugu Bathlomeo Ngeseyan na rafiki zake kwa uzalendo wao wa kuchangia fedha kiasi cha zaidi ya Shilingi milioni kumi kwaajili ya kutatua changamoto ya maji na ukaratabati wa majengo ya vyumba vya maabara katika shule ya Sekondari Losinoni iliyoko Halmashauri ya Arusha wilayani Arumeru.


“Mmefanya jambo la kizalendo sana na sisi kama serikali lazima tuwaunge mkono, kwasababu haya mliyoyafanya mmeweza kuunga mkono juhudi za Rais wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan katika ujenzi wa miundo na kuhakikisha wanafunzi wetu wanasoma bila tabu” alisema Msumi.


Sambamba na hayo, Msumi amewaonya wazazi wenye tabia ya kuwaozesha watoto katika umri mdogo na kwamba, Serikali iko macho na itachukua hatua kali kwa wale watakaothubutu kuua ndoto za watoto ambao kesho wanatarajiwa kuwa Viongozi wa Taifa hili.


Awali akisoma taarifa mbele ya Mkurugenzi, Mkuu wa Shule hiyo ndugu Emanuel Mkonongo ameeleza kuwa, akina Bathlomeo na rafiki zake wametekeleza mradi wa maji kwa kufanikisha ufungaji wa mifumo ya maji shuleni hapo kwa kutumia kiasi cha shilingi millioni 5,751,000/= ambapo zimetumika kujenga mnara wa kupandisha tenki la maji, kununua tenki la maji lenye ujazo wa lita elfu kumi, kujenga karo la wanafunzi kunawia mikono pamoja na kufunga mifumo ya maji kwenye vyoo vinne vya wanafunzi na walimu vyenye jumla ya matundu ishirini na mbili.


Vilevile wametumia shilingi million 5,200,000/= kuweka vioo vya madirisha na milango kwenye chumba kimoja cha maabara, kufunga mfumo na kuingiza umeme kwenye vyumba viwili vya maabara, kumalizia ujenzi wa choo cha walimu chenye matundu mawili, kununua TV na king’amuzi chake kwaajili ya walimu na wanafunzi.


Kwa upande wake ndugu Bathlomeo, Dkt. Paul Loisulie (PhD) na wenzake wamesema wameamua kufanya hivyo wakisukumwa na jitihada za serikali katika kuboresha miundombinu ya kujifunzia na kufundishia, vilevile Bathlomeo binafsi anatekeleza wosia wa marehemu baba yake ambapo wakati anafariki alimwambia somesheni watoto. Bathlomeo amewataka wanafunzi kusoma kwa bidii ili kufaulu masomo yao sambamba na kulinda miundombinu hiyo kwaajili ya wengine.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.