• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA MKOA WA ARUSHA,PAUL MAKONDA AKUTANA NA ASASI ZA KIRAIA NA KUFUNGUA MILANGO YA MASHIRIKIANO KATIKA KUWATUMIKIA WANANCHI

Posted on: July 8th, 2024

MKUU WA MKOA WA ARUSHA,PAUL MAKONDA AKUTANA NA ASASI ZA KIRAIA NA KUFUNGUA MILANGO YA MASHIRIKIANO KATIKA KUWATUMIKIA WANANCHI.


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na Mashirika na Asasi za kiraia zinazofanya kazi Mkoani Arusha kwa lengo la kujenga umoja na mshikamano na ofisi yake na Ofisi yake ili kuongeza kasi ya maendeleo kwa Wananchi.


Mhe. Makonda ameyazungumza hayo mapema leo Julai 08, 2024 wakati wa Mkutano wake na Taasasi zisizo za Kiserikali zinazoshughulika na maendeleo ya huduma za jamii katika Mkoa wa Arusha ikiwa ni mwendelezo wa kazi zake za kukutana na Taasisi na makundi ya watu mbalimbali kwa lengo la kufahamiana, kushirikiana na kuona jitihada wanazozifanya katika kuwaletea wananchi maendeleo.


"Nitumie fursa hii kuwakaribisha kuitumia ofisi ya Mkoa kama sehemu ya ofisi yenu,Jambo lolote unaloweza kuwa nalo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Ofisi ya mkuu wa wilaya ni ofisi yako.Unapaswa kwenda kifua mbele na kuomba Ofisi hizi ziwasaidie kutatua changamoto zenu ili tu ufanikishe kile unachokifanya ambacho sisi tunaamini ndicho kinachoweza kuleta tija kwenye maisha ya wananchi tunaowaongoza." ameongeza Mhe. Makonda.


Mhe.Makonda amesema Kikao hicho pamoja na mambo mengine kitumike kuzileta Asasi hizo za Kiraia pamoja ili kufanya kazi kwa mashirikiano ya karibu na Serikali katika mkakati wa kuwaletea wananchi maendeleo. Katika Mkutano huo wadau wa Asasi hizo za kijamii wamepata fursa ya kutoa maoni na changamoto zinazozihusu Taasisi zao kwa Mkuu wa Mkoa Mhe. Makonda ambaye ameahidi kuzifanyia kazi katika kuongeza ufanisi na kasi ya utendaji wao wa kazi ili kuweka mazingira rafiki ya Asasi hizo katika kuwatumikia wananchi wa Mkoa wa Arusha

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.