• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Naibu Waziri wa Afya amewataka wananchi kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii- CHF ili kujihakikishia matibabu

Posted on: December 15th, 2017

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amewataka wananchi kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii-CHF ili kuwa na uhakika wa kupata matibabu pindi wanapougua.

Ametoa rai hiyo wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya utoaji wa huduma za afya pamoja na kukagua ujenzi wa miundombinu ya Kituo cha Afya Nduruma na kuzungumza na wanchi na watumishi wa kituo hicho cha Afya.

Naibu Waziri huyo amesema kuwa serikali imeanzisha mfuko wa Afya ya jamii 'CHF' na tayari imeweka mikakati thabiti ya kuhakikisha wanachama wote wa mfuko huo wanapata matibabu na dawa zote muhimu bila usumbufu wowote na katika vituo vyote vya afya.

Ameongeza kuwa serikali pia inaandaa utaratibu ambao  itakuwa ni lazima wananchi wote kujiunga na bima za afya  na si hiari tena kama ilivyokuwa hapo awali hivyo wananchi wanapaswa kuanza kuzoea kujiunga na mfuko hiyo sasa.

Hata hivyo Naibu Waziri huyo ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa miundombinu ya kituo hicho na kusema kuwa amejihakikishia ubora wa majengo kwa kulinganisha na thamani ya fedha zilizotumika.

Amefafanua kuwa matumizi ya force account' yameonyesha mafanikio makubwa ukilinganisha na kutumia Mkandarasi na kuwataka wananchi Kamati ya Ujenzi kuendelea kushiriki na kufuatilia hatua zote za ujenzi na manunuzi ya vifaa vyote kwa kuwa fedha hizo ni zao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.