• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Rais Mhe Dkt. John Pombe Magufuli azindua rasmi program ya ASDP II

Posted on: June 4th, 2018


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. John Pombe Magufuli, amezindua rasmi programu ya kuendeleza sekta ya kilimo awamu ya pili (ASDP II) hafla iliyofanyika  katika ukumbi wa Mikutano wa kimataifa la Mwalimu Julius Nyerere, Jijini Dar es salaam.

Akihutubia katika mkutano huo Rais Magufuli amezitaka sekta za kilimo, Sekta binafsi na Asasi za kiraia kujumuika pamoja  katika kutelekeza mpango huo wa ASDP II ili kuongeza tija katika sekta za Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Viwanda.

Hata hivyo Mheshimiwa Rais ameiagiza wizara ya kilimo pamoja na wadau wengine wa kilimo kushughulikia kikamilifu changamoto zote zilizojitokeza wakati wa utekelezaji wa programu hiyo ya awamu ya Kwanza.

Aidha, ameongeza kuwa sekta ya kilimo ina nafasi kubwa ya kubadilisha hali ya uchumi wa nchi kuliko sekta za madini na gesi hivyo  kilimo kiboreshwe ili kiweze kuleta mapinduzi katika sekta nyingine.Katika hatua nyingine Mhe. Rais ameitaka Benki ya Kilimo Tanzania (TADB) kusimamia malengo ya kuanzishwa kwake ili iweze kutoa msaada kwa wakulima ikiwemo kuwakopesha badala ya kufanya biashara baina ya benki na kuwakopesha wafanyakazi wake jambo ambalo ni kinyume na utaratibu.

Awali waziri wa kilimo Mhe. Dkt.Charles Tizeba alisema kwamba Makadirio ya mahitaji ya rasilimali (Bajeti) kwa ajili ya utekelezaji  wa programu hiyo ni shilingi Trilioni 13 ambazo zitahitajika kutekeleza mpango huo kwa kipindi cha miaka 5 ya mwanzo.

“Mhe Rais Tayari kwa mwaka ujao wa fedha wa 2018/19, Serikali unayoiongoza inatarajia kuchangia kiasi cha Shilingi Bilioni 943 kupitia Wizara za Sekta ya Kilimo ambazo ni Wizara ya Kilimo, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji” Alikaririwa Dkt Tizeba.

Aidha Halmashauri zote za Wilaya kupitia makusanyo yake ya ndani (Own sources) zinatarajia kuchangia kiasi cha Shilingi Bilioni 36”. Alisisitiza Dkt TizebaASDP II ni mpango wa miaka kumi utakaotekelezwa kwa awamu mbili za miaka mitano mitano kwa kuzingatia mazao yenye kuleta matokeo makubwa katika sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.Lengo la ASDP II ni kuendelea kuimarisha  usalama wa chakula na Lishe nchini, kuongeza kipato cha wakulima na Taifa na pia kuchangia ukuajia wa  sekta ya viwanda.

Mpango huu wa ASDP II utatekelezwa na wadau wote katika sekta ya Kilimo ambao ni Serikali, Sekta binafsi, Washirika wa Maendeleo na Wakulima.

Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa, Wakuu wa mikoa mbalimbali wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dara es salaam Mhe Paul Makonda, Mawaziri wa sekta za kilimo viongozi vyama vya siasa, na dini na wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.