• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RAS ARUSHA AMSHUKURU RAIS SAMIA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO ARUSHA DC

Posted on: October 22nd, 2022

Na Elinipa Lupembe

Katibu Tawala mkoa wa Arusha, Misaille Musa, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa fedha nyingi za utekelezaji wa miradi, miradi ambayo inaendelea kupunguza changamoto za upatikanaiji wa huduma kwa wananchi hususani waishio vijijini.

Katibu Tawala huyo, amesema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua shughuli za utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.4 katika sekta ya afya, elimu na maendeleo ya jamii, halmashauri ya Arusha.  

Ametoa shukrani hizo huku akiwapongeza watumishi na wananchi wa halmashauri hiyo kwa kushirikiana katika usimamizi wa miradi hiyo yenye ubora unaoendana na thamani ya fedha zilizotolewa na serikali kwa kutumia Force akaunti.

"Tunamshukuru sana mama Samia, kwa kutoa fedha nyingi za miradi, miradi ambayo kiuhalisia inakwenda kuwahudumia wananchi wa maeneo ya pembezoni wenye uhitaji, kukamilika kwa upanuzi wa kituo cha Afya Mwandeti kutasaidia kuhudumia wagonjwa pamoja na kuondoa vifo vya kina mama wajawazito na watoto".Amesisitiza Missaile.

Hata hivyo ameuagiza uongozi wa halmashauri ya Arusha, kwa kutumia fedha za mapato ya ndani kukamilisha maeneo madogo madogo yaliyosalia katika kukamilisha ujenzi jengo la mama na mtoto Mwandeti, ili na wananchi waanze kupata huduma kituoni hapo kabla ya mwisho wa mwaka huu.

Katika ziara hiyo, jumla ya miradi minne ya ikiwemo miradi iliyotekelezwa na TASAF ya Kivuko cha Moivo shilingi milioni 67 .1 na ujenzi wa mabweni mawili shule ya sekondari Oldonyowas kwa shilingi milioni 356.

Aidha miradi mingine na paomja na ujenzi wa kituo cha afya Oloirieni milioni 450 za mapato ya ndani na upanuzi wa kituo cha Afya Mwandeti kwa shilingi milioni 590 kutoka serikali kuu ikiwa ni fedha za Uviko 19, tozo na wahisani.


ARUSHA DC

KaziIendelee✍







Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.