• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC ARUSHA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA 18 YA UJENZI WA BARABARA

Posted on: October 20th, 2022

Na. Elinipa Lupembe.

Jumla ya mikataba 18 yenye thamani ya shilingi bilioni 4.07 imesainiwa na wakandarasi wa kutengenza barabara za mkoa wa Arusha, huku Mkuu wa Mkoa wa huo Mhe. John Mongella akiwataka wakandarasi waliosaini mikataba hiyo, kufanya kazi kwa weledi, uzalendo na kuzikamilisha kwa muda uliopangwa kulingana na mikataba hiyo.

Mhe. Mongeka ameyasema hayo wakati akishuhudia utiaji saini wa mikataba kati ya Wakala wa barabara vijijini na Mijini ( TARURA) na wakandarasi 18 watakaofanya matengenezo barabara kwenye halmashauri za Mkoa wa Arusha.

"Tumesaini mikataba, wakandarasi tambueni fedha hizi ni za Umma, ni kodi za wananchi, Seriklai imewaamini na kuwapa kazi, nendeni mkatengeneze barabara zenye viwango, vinavyoendana na tahamani ya fedha na kukamilisha ujenzi kwa wakati kulingana na mikataba mliyoisaini" . Amesisitiza Mkuu huyo wa mkoa.

Aidha Mongela amebainisha kuwa kukamilisha  barabara hizo kwa wakati na kwa viwango kutasaidia kusogeza huduma kwa wananchi pamoja na kushusha gharama za maisha kwa wananchi na kuharakisha maendeleo binafsi na ya Taifa kwa ujumla na kuwaelekeza TARURA kuhakikisha wanawasimamia wakandarasi hao kwa ukaribu zaidi ili kazi zifanyike kwa welesi na kukamilisha miradi hiyo kulingana na mikatana yao sambamba na kuendelea kusimamia miradi ya barabara ya zamani ili nayo iweze kukamilika haraka.

Naye Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Missaile Musa amesema, kuwa kitendo cha wakandarasi kusaini mikataba hadharani kitasaidia wananchi kuwafahamu wakandarasi watakaoenda kufanya kazi katika maeneo yao.

Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha  Lynas Sanya amesema kwa mwaka wa fedha 2022/2023 wamepatiwa jumla ya shilingi bilioni 4.07 kwa ajili ya  matengenezo ya barabara kwa awamu ya pili huku awamu ya kwanza ikipokelewa shilingi bilioni 14 na jumla ya shilingi bilioni 18.07 na jumla ya mikataba 34 ilisainiwa.

Nae, Mkandarasi Rashidi Sevingi  kutoka kampuni ya Raly (EA) Limited ameahidi kwenda kufanyakazi kwa weledi kwa kuzingatia mikataba waliyosaini na kuwasihi wakandarasi wote kufanya hivyo ili serikali iendelee kuaminiwa zaidi na kuendelea kuwapa kazi.

Awali kwa mwaka  wa fedha 2022/2023 TARURA  katika bajeti yake wamepatiwa zaidi ya bilioni 10 fedha zilizotokana na tozo za mafuta ili zikasaidie katika ukarabati wa barabara katika Mkoa wa Arusha na kusaini Mikataba 52 yenye thamani ya bilioni 18 kwa ajili ya ukarabati wa barabara mbalimbali za Mkoa wa Arusha kwa mwaka wa fedha 2022/2023..





Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.