• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC ARUSHA AWATAKA VIONGOZI WA WANANCHI ARUMERU KUJIANDAA NA SAFARI ZA TRENI MOSHI -ARUSHA

Posted on: August 10th, 2020

Na. Elinipa Lupembe.

      Mkuu wa mkoa wa Arusha, Idd Kimanta, amewataka viongozi wa vijiji na vitongoji wilaya ya Arumeru, wanaoishi kwenye maeneo ambayo miundombinu ya Reli ya Arusha - Moshi inapita katika maeneo hayo, kusimamia na kuhakikisha usalama wa reli na miundombinu yake pamoja na usalama wa treni, mizigo na abiria wake.

     Mkuu huyo wa Mkoa ametoa rai hiyo, alipokutana na viongozi wa ngazi zote, wanaoishi kwenye maeneo ambayo reli ya Moshi - Arusha, kwenye kikao kilihofanyika kwenye ukumbi wa mikutano halmashauri ya Meru, na kuweka wazi kuwa, matumizi ya Reli hiyo na safari za treni zinatarajia kuanza safari zake mwishoni na mwezi huu wa Agosti.

    Aidha amewasisitiza viongozi hao kuzungumza na wananchi wao, ujio wa treni unotrji kufanya safari zake kutoka Dar es salam, Tanga, Kilimanjaro mpaka Arusha, safari ambazo zilisimama kwa zaidi ya miaka 20 sasa, na zinategemea kuanza kazi rasmi mwisho wa mwezi wa Agosti 2020 kw kuwa matengenezo yako kwenye hatua za mwisho kukmilika.

      "Serikali ya awamu ya tano, imeona umuhimu wa kufufua safari za treni hususani Reli yetu ya  Arusha - Moshi, ili kusaidia wananchi wa maeneo yetu, kusafiri na kusafirisha kwa gharama nafuu, na ni jukumu letu kuitunza, kuipenda na kutambua kuwa reli hiyo ni mali yetu sote, inatengenezwa kwa kodi zetu watanzania, kuitunza ni haki na wajibu wetu" amesema Mheshimiwa Kimanta

      Safari za treni zitapunguza gharama kubwa za usafiri wanazotumia wasafiri wa kawaida na wafanya biashara, kutokana na ukweli kuwa treni inauwezo wa kubeba tani 800 za mizigo kwa wakati mmoja sawa na malori 80 kwa siku.

      Ameongeza kuwa ujio wa reli utapunguza uharibifu wa miundombinu ya barabara za lami, barabara zinazotumia pesa nyingi na kuharibika kwa muda mfupi matumizi yasiyosahihi ya magari kubeba mizigo mizito, matumizi ya reli ni maendeleo kwa uchumi wa Tanzania.

    Naye Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Shirika la Reli Tanzania 'TRCA', Jamila Mbaruku, ameweka wazi kuwa, ukarabati wa miundombinu ya reli ya Arusha - Moshi, unaendelea vema, uko katika hatua za mwisho,  na safari za treni za mizigo na abiria zinatarajiwa kuanza kazi mapema mwishoni mwa mwezi huu wa Agosti.

        Aidha amewasisitiza viongozi hao, kuwatahadharisha wananchi wao, kuchukua tahadhari kwa kuacha kufanya shughuli za kijamii kwenye meneo ya karibu na reli, na kuongeza kuwa wazazi wanalazimika kuwatahadharisha watoto kucheza kwenye maeneo yaliyokaribu na reli.

    "Tunafahamu reli hiyo ilikuwa haitumiki kwa muda mrefu sasa, watu wengi wamejisahau na kufanya shughuli zao karibu na reli, watu hao wanatakiwa kuacha mara kufanya hivyo na kufahamu ni hatari kubwa inayoweza kuhatarisha maisha" amesisitiza  Jamila.

       Hata hivyo viongozi hao, wamemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Arusha wa kuwashirikisha ujio wa safari hizo za treni licha ya kwamba, italeta maendeleo ya Taifa lakini ni ukweli usiopingika wananchi wengi hawana uwelewa wa reli hizo, na wako tayari kuelimisha wananchi.






Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.