Mkuu wetu wamkoa atuna mengi zaidi yakukuombea kwamungu. Pamoja narais wetu wa jamhuri ya muungano wa tanzania Samia suluhu Hassan kutuletea maendeleo tuliokua tukiyaona mikoa mingine Leo hii Sasa nikwetu Wana arusha .tulinde miundombinu ya serikali kwa pamoja tusiangushe juhudi na maono ya viongozi wetu.
See translation
Jamaa ana nyota ya ukuu yaani mawaziri na viongozi wa juu kila siku wako Arusha sio kawaida na hawafanyi mkoa mwingine kama alipo Makonda, jamaa una nyota ya ukuu
Sekei Road
Anuani ya posta: 2330 Arusha
Simu : +255 027 2502737
Simu: 073 65000476
Barua pepe: ded@arushadc.go.tz
Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.