• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YAIMARISHA MIUNDOMBINU YA SHULE CHANGA SEKONDARI LOSINONI...

Posted on: December 4th, 2022

Na Elinipa Lupembe.


Licha ya kuwa Serikali inaendelea na  mkakati wa kukarabati shule kongwe za sekondari bado imejikita katika kuziimarisha shule changa kwa kuongeza miundo mbinu ili zikamilike, lengo likiwa ni kuhakikisha watoto wote nchini, wanapata elimu ya sekondari katika maene yao.

Shule ya sekondar Losinoni ni miongoni mwa shule changa za kata iliyoanza mwaka 2020 kwa kuusajiliwa kwa namba S. 5347, ikiwa umbali wa takribani Kilomita 45 kutoka makao makuu ya halmashauri ya Arusha.

Akizungumza na mwandishi wetu, Mkuu wa shule ya sekondari Losinoni Mwl. Emanuel Mkonongo, amethibitidha kuwa serikali imeendelea kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule hiyo huku mwaka huu wa fedha ikiwa imepokea  shilingi Milioni 40 kutoka serikali kuu za ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa, viti na meza 80 na kufanikiwa kujenga na ofisi ya walimu kwenye jengo hilo na ujenzi ukiwa umekamiliaka.


Imeelezwa kuwa, shule hiyo ilianzishwa kwa nguvu za wananchi na ufadhili wa Hifadhi ya Wanyamapori Arusha (ANAPA) kutokana na asilimia kubwa ya watoto wa eneo hilo hususani wasichana kushindwa kuendelea na  elimu ya sekondari kutokana na umbali mrefu ilipokuwa shule ya sekondari.


Kutokana na juhudi na ari ya wananchi wa Losinoni, serikali ilianza kuwekeza nguvu na kuongeza kasi ya ujenzi wa miundo mbinu ya shule hiyo pamoja na usajili wa shule hatimaye Januari 2020, wanafunzi walipangiwa shuleni hapo kuanza kidato cha kwanza.


Mkonongo ameongeza kuwa, Serikali imeendelea kuwekeza miundombinu ya shule hiyo na kuifanya iendelee kukua kwa manufaa ya watoto wa kijiji cha Losinoni, mpaka sasa  shule ina wanafunzi 202 wa kidato cha kwanza mpaka cha tatu ikiwa na vyumba 10 vya madarasa, matundu ya vyoo, maabara za masomo ya Kemia na Baiolojia, na Fizikia na Jiografia, pamoja na nyumba 2 za walimu za (2 in 1).


"Licha ya kuwa shule hiyo ni changa lakini juhudi kubwa za serikali zinaifanya shule hiyo kuwa bora kwa upande wa miundo mbinu, huku wadau wengine wa maendeleo wakiendelea kutoa vifaa vya kujifunzia na kufundishia ikiwemo wanafunzi wasomi wenyeji wa  kijijini hapo" Amesisistiza Mkonongo


Awali Serikali imetoa shilingi milioni 760 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 38 kwa 15 za sekondari halmashauri ya Arusha, ikiwa ni maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza Januari  2023.


Ifahamike kuwa, mradi huu ni utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi Ibara ya 79 kifungi (i) ikijibainisha kuongeza fursa za upatikanaji wa elimu ya sekondari kwa kuongeza idadi ya shule za sekondari,  kuboeresha mazingira ya kujifunzia wanafunzi lengo likiwa kuongeza ufaulu wa wananfunzi wa kidato cha nne.


ARUSHA DC

KaziInaendelea✍✍


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.