• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YATOA MILIONI 200, UPANUZI WA KITUO CHA AFYA OLDONYOSAMBU

Posted on: November 10th, 2021

Na. Elinipa Lupembe.

Kufuatia mkakati wa serikali wa kuboresha miundombinu ya vituo vya kutolea huduma ya afya, wananchi wa kata ya Oldonyosambu, halmashauri ya Arusha, wilaya ya Arumeru, wameendelea kuneemeka kwa kupatiwa mradi wa upanuzi wa kituo afya Oldonyosambu.

Mradi huo unaotekelezwa kwa gharama ya shilingi milioni 200, fedha kutoka serikali kuu, kupitia miradi ya Lipa kwa na Matokeo 'Result based financing', unategemea kukamilika mwishoni mwa mwaka huu 2021.

Akizungumza wakati wa kukagua maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo, mkurugenzi mtendaji halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi, amewataka watalamu wasimamizi wa mradi huo, kuhakikisha unakamilika kwa wakati huku ubora wa majengo ukienda sambamba na thamani ya fedha za mradi.

Mkurugenzi Msumi ameongeza kuwa,  mradi huo ni muhimu kwa wananchi wa Oldonyosambu, kwa kuzingatia malengo ya serikali ya awamu ya sita, ya kuboresha  huduma za afya kwa kusogeza huduma hizo muhimu,  karibu na wanachi, kwa kuhakikisha kila kata inakuwa na kituo cha afya chenye hadhi ya nyota tano, huku kila kijiji kikiwa na Zahanati.

Afisa Mipango halmashauri hiyo, Anna Urio, amefafanua kuwa kiasi hicho cha shilingi milioni 200, kinategemea kutumika kujenga jengo moja kubwa, litakalojumuisha, wodi ya mama na mtoto 'maternity ward', sehemu ya kujifungulia 'labour word', sehemu ya upasuaji 'theater' na RCH, lengo likiwa ni kuongeza majengo muhimu ya kutolea huduma zote, katika kituo hicho cha afya.


ARUSHA DC

#kaziInaendelea✍✍








Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.