• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YAWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA MITAA KUGAWA VIWANJA VYA KUANZIA MITA ZA MRABA 450 KWA KUZINGATIA MICHORO YA MIPANGO MIJI

Posted on: December 23rd, 2022

Serikali imewataka wenyeviti wa vijiji na mitaa kuhakikisha wanagawa viwanja vya kujenga kuanzia ukubwa wa mita za mraba 450 hadi 500  ili kurahisiha utoaji wa huduma kwenye nyumba hizo yanapotokea  majanga ya moto.

Rai hiyo imetolewa na Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Arusha Idrisa Kayembe kwenye kikao mafunzo juu ya ulioaji wa kodi ya ardhi, kilichowakutanisha wenyeviti wa vijiji na mitaa wa wilaya za Arumeru na Arusha kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa shule ya msingi Creen Acres.

Kamishna huyo amesema kuwa, wenyeviti wa vijiji na mitaa, wanaowajibu wa kupanga miji katika maeneo yao kwa kuhakikisha wanapogawa viwanja katika maeneo yao, kugawa viwanja vyenye ukubwa wa kuanzia mita za mraba 450 mpaka 500 na si chini ya hapo.

Ameongeza kubwa ukubwa huo wa viwanja utaruhusu nafasi kati ya nyumba na nyumba, kwa ajili ya usalama wa nyumba hizo hasa wakati yanapotokea majanga ya moto pamoja na miundombinu ya maji taka, huduma ambazo zinakuwa ngumu kupatikana pale ambapo hakuna nafasi kati ya nyumba na nyumba.

"Tukiwa na nyumba zilizopangwa vizuri ni rahisi mamlaka za serikali kutoa huduma wakati wa majanga ya mto, majanga ambayo yanasababisha vifo na hasara kubwa kwa watu  hasara ambazo zinaweza kuzilika kwa kupanga miji". Amesisitiza Kamishna Kayembe

Aidha amefafanua kuwa Wale watu wanaokata viwanja viwe na ukubwa unaoeleweka visiwe vidogo vidogo na vikikatwa vizingatie michoro ya mipango miji, lengo ni kuhakikisha wananchi wanakaa kwenye maeneo yaliyopangwa, maeneo yaliyopangwa ni rahisi kwa mamlka za serikali kutoa huduma wakati wa majanga ya moto na mengine.

Hata hivyo wenyeviti hao wamewaomba watalamu wa Ardhi na wengine kuhudhuria kwenye mikutano ya vijiji ili kutoa elimu ya namna bora ya mipango miji inayoendana na huduma zinazotakiwa kwenye makazi.

"Tunapofanya mikutano ya kujadili masuala ya ardhi, tunahitaji watalamu wa Ardhi, afya, maji, umeme, zima moto na wa mazingira ili waweze kueleimisha wananchi kufahamu taraibu za mamlaka zote, kwa kufanya hivyo tunaweza kupanga miji yetu bila kuchanganyana". Amefafanua Simon Siara Mwenyekiti wa mtaa wa Siara


ARUSHA

KaziInaendlea ✍

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.