• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Shirika la eWater wafanya majaribio ya mfumo wa kulipia maji kwa kutumia kadi - Ngaramtoni

Posted on: March 26th, 2018

Shirika la eWater Tanzania limeanza kufanya majaribio ya mfumo wa kulipia maji kwa kutumia kadi ya kulipia kabla ya kutumia maji,kwa kutengeneza kituo cha kuchotea maji kinachotumia mfumo wa kielekroniki wa 'eWater- pay', katika eneo la stendi ya daladala ya Ngaramtoni.

Kituo hicho kimewekwa eneo hilo la stendi, maalumu kwa ajili ya majaribio ya matumizi ya teknolojia hiyo, na zaidi jamii ianze kuufahamu, kuutumia na kuuzoea, kabla ya kuanza kutumika rasmi.

Mratibu shirika la wa eWater -Arusha, Deogratius Nyusso, amesema kuwa kituo hicho cha kuchotea maji, kimewekwa kwa ajili ya majaribio ili kuwafanya wananchi waanze kuufahamu mfumo na kuuzoe kabla ya kuanza kutumika rasmi.

" Tumefunga mfumo kwenye kituo cha standi kama 'demo' watu waone na waanze kuifahamu teknolojia hiyo na kuitumia, zaidi kuwajenga kisaikolojia juu ya ujio wa teknolojia mpya ambayo hawajawahi kuitumia". Amesema Nyusso.

Ameongeza kuwa, matumizi ya teknolojia hiyo, yatasaidia kuthibiti upotevu wa rasilimali maji pamoja na uthibiti wa ukusanyaji wa mapato yanayotokana na malipo ya maji.

Godfrey Mollel mkazi wa Ngaramtoni, amethibitisha kuwa, endapo mfumo huo utatumika na kusimamiwa vizuri, unaweza kutatua changamoto ya udhibiti wa fedha za kuendesha miradi ya maji.

"Changamoto kubwa ya miradi yetu ya maji ni upotevu wa maji na mapato, kwa pamoja vinakwamisha maendeleo ya miradi ya maji, badala yake miradi hiyo hufa kwa kukosa fedha za matengenezo kutokana na usimamizi mbovu" amesema Mollel

Hata hivyo, teknolojia hiyo inategemea kutumika baada ya mradi wa maji wa vijiji vitano maarufu kama mradi wa maji wa WaterAid kukamilika, mradi unaotekelezwa na serikali kupitia Idara ya Maendeleo ya nchini Uingereza 'DFID'.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.